Recent content by Puma yetu

  1. Puma yetu

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Dr Ayub Ryoba awe Msemaji Mkuu wa Serikali, Salim Kikeke awe Mkurugenzi Mkuu TBC

    Ningekua Rais wa nchi ningemteua Mkurugenzi mkuu wa TBC Dr Ayub Ryoba kumrithi Gerson Msigwa kwenye nafasi ya usemaji mkuu wa serikali na nafasi yake Ryoba ijazwe na aliyekua mtangaji wa shirika la utangazi la Uingereza BBC Salim Kikeke kua Mkurugenzi mkuu wa Shirika la utangazaji Tanzania TBC...
  2. Puma yetu

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Afya chukueni ushauri huu kuhusu madakatari wenye maslahi binafsi

    Sasa hapa unataka Madaktari wakujibu nini ndugu yangu maana unalalamika tuu, unashindwa kuelewa kua daktari hasa wale mabingwa kuna Intetnal Standards ambazo haziwabani kukaa kwenye vituo vyao ya kazi muda wote na ndio maana kuna calls. Daktari siyo nesi anayetakiwa kukaa na mgonjwa kutwa...
  3. Puma yetu

    JamiiForums Tanzania Ukatili na Unyama wa Mbunge wa CCM Singida Magharibi, Elibariki Kingu wailiza jamii

    Nchi ilifika pabaya sana kwakweli. Hawa wahalifu watafutwe jinai haiozi
  4. Puma yetu

    JamiiForums Tanzania Ukatili na Unyama wa Mbunge wa CCM Singida Magharibi, Elibariki Kingu wailiza jamii

    Waliendekeza Ushenzi sana ndiyo maana wengine wako jela miaka 30. Walidhani waliowatuma ni Mungu
  5. Puma yetu

    JamiiForums Tanzania Ukatili na Unyama wa Mbunge wa CCM Singida Magharibi, Elibariki Kingu wailiza jamii

    Kingu muuwaji tu huyu.Mnalawiti mwanaume mwenzio ni akili hizi au ushirikina tu huu?
  6. Puma yetu

    JamiiForums Tanzania Ukatili na Unyama wa Mbunge wa CCM Singida Magharibi, Elibariki Kingu wailiza jamii

    Inawezekana hata kuondoa uhai wa watu anafanya kabisa. Amekua mtu hatari sana huyu siyo wa kumwacha hivi hivi
  7. Puma yetu

    JamiiForums Tanzania Ukatili na Unyama wa Mbunge wa CCM Singida Magharibi, Elibariki Kingu wailiza jamii

    Ni kweli sisi wenye tunalijua hili tukio na wahusika ni Kingu mwenyewe, Karibu wake aitwaye Muna, Mwenyekiti wa UVCCM kata ya Puma, green guard kadhaa ndio walitaka kumuuwa Petter. Kingu ni zaidi ya muuwaji
  8. Puma yetu

    JamiiForums Tanzania Chini ya DC Jerry Muro, Ikungi kazi inaendelea

    DC tutakuumbua vibaya wanaikungi tunajua yote yanayoendelea hivi sasa. Kuna taarifa za chini kwa chini pesa za Makundi ya vijana zinapigwa na makundi hewa yanayotengenezwa na Makada wa CCM. Mseme pesa za makundi maalum wanapata watumwa aina gani? Kwa bahati mbaya sana zinaliwa hazirudishwi...
  9. Puma yetu

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo Agenda ya ACT-Wazalendo kumuombea Mbowe msamaha kwa Rais

    Mbowe aliwahi kuuza ngada lini? Mbona hakukutwa na hatia?
  10. Puma yetu

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo Agenda ya ACT-Wazalendo kumuombea Mbowe msamaha kwa Rais

    Nia ni kumfunga Mbowe bure na sasa nafsi zinawasuta.
  11. Puma yetu

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo Agenda ya ACT-Wazalendo kumuombea Mbowe msamaha kwa Rais

    Yawezekana wewe ni mpuuzi kati ya wapuuzi wachache waliopo nchini. Ushahidi upi wa Denis Urio unamtiaje Mbowe hatiani? Ushahidi kuthibitisha kua alipanga ugaidi ni upi zaidi ya maneno tu ya uongo? Aieleze mahakama kwa uthibitisho wowote kua walitaka kufanya ugaidi. Maana wale vijana...
  12. Puma yetu

    JamiiForums Tanzania Eeh Mungu, Waadhibu vikali wote waliochonga kesi ya Mbowe

    Acheni mahakama itende haki. Adui haombewi kifo anaombewa maisha marefu ili aone kuu wa Mungu. Sasa wewe Mura unaombea watu wafe?
  13. Puma yetu

    JamiiForums Tanzania Tozo Mpya za Miamala: Kuna watu wanataka CCM ishindwe 2025 makusudi. Hatutakubali!

    Haiwezekani wewe Speaker bajeti mbovu inaletwa bungeni inayolenga kuumiza wananchi imekaa unapiga makofi tena unatishia eti wabunge wakigomea bajeti bunge litavunja. Hamkuwa na nia wala dhamira njema ninyi, mliendekezwa na Mwendazake sasa mnataka makusudi kumuangusha mama 2025, hatutakubali...
  14. Puma yetu

    JamiiForums Tanzania DC Jery Muro unamchonganisha Rais na Wananchi. Kiburi na chuki zako zitakumaliza

    Kupitia kauli zako za kuwania wananchi wa Wilaya ya Ikungi kua una Majeshi, Polisi na Mabomu kwamba inaweza kumlipua mtu wakati wowote, ni kauli za hovyo na za kijinga kwa kiuongozi ambaye umepewa mamlaka ya kulea na kutunza amani ya eneo husika kwa niaba ya mkuu wa nchi. Jery Muro kauli zako...
  15. Puma yetu

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded DC Jerry Muro atishia kuumiza na kupoteza watu wanaodai katiba

    Diallo alisema vichaa wasiwe wanapewa madaraka.Kwanza alikua na kesi ya rushwa TBC,aliwahi kutoa matusi ya udhalilishaji akiwa Yanga, hivi Mama kwa uchamungu wako unateuaje huyu mtu Mama?
Back
Top Bottom