Ili kuendana na kasi ya mabadiliko ya kisiasa, kiuchumi, kielimu, kiteknolojia pamoja na kiutamduni hatuna budi kuhakikisha baadhi ya mabadiliko katika mfumo mzima wa ajira kuanzia ngazi ya chini, mpaka ngazi juu yanafanyika, ili kufanya malengo ya taifa ya maendeleo ya muda mfupi, kati na muda...
Suala la ajira hapa nchini, limekuwa moja ya agenda kuu na ngumu kutekelezeka tangu kupatikana kwa uhuru,hali iliyopelekea kila awamu ya utawala katika nchi yatu tangu awamu ya kwanza hadi awamu ya tano.
Katika awamu zote za utawala kumekuwa na mikakati pamoja agenda, sera na taratibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.