Natafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo;
1. Awe mkristu mwenye hofu ya MUNGU.
2. Umri usiozidi miaka 25.
3. Mweupe, mwenye umbo la wastani (average), mrefu wastani
4. Elimu kuanzia form 6 na kuendelea
5. Mwenye msimamo katika maamuzi
6. Awe mfanyakazi wa kuajiriwa au kujiajiri
Wasifu wangu...