Aisee hii bara bara haina hata miaka 10 lakin bara bara imeharibika vibaya mnoooo. Inavyoonekana Makandarasi alijenga chini ya kiwango sana.. kwa sasa hii bara bara inatakiwa ifumuliwe upyaaa kbsaaa from the scratch.. kabla ya kufumuliwa yote atafutwe mkandarasi aliyeijenga anyongwe kbsaa mpaka...
Kwa sasa hali ya hewa n ya ubaridi.. tena ubaridi mkali.. kupata haja ndogo mara kwa mara n lazm... inaumiza sana kuona mtu mzima kwenye gari anateseka kisa kutaka kukojoaa... na kalipa nauli
LATRA tafadhali haya Mabasi ambayo hayana Choo ndani, yasisafiri usiku.
Bus lina abiria 60.. kati ya hao abiria 60 kuna wenye magonjwa mbalimbali. Kusafiri umbali wa masaaa 12-18 usiku bila kupata haja ndogo ni hatari sana. Mfano mimi nimeteseka sana kusafiri na Bus usiku .. haja ndogo ilikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.