Habari Wana jukwaa.
Mdada wa kazi anahitajika mshaara 50000 kwa mwezi
Majukumu
1 kukaa na mtoto , kumuhudumia , kimpa chakula nb mtoto ana mwaka na miez 2 Sasa
2. Kupika
3. Kufanya usafi ndani na nje ya nyumba nuyumb ni chumba sebure na choo ndani
Mahali ni dsm temeke
SIFA ZA MWOMBAJI
umri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.