Recent content by Profeshino

  1. Profeshino

    JamiiForums Tanzania Natafuta wauzaji wa vifaa hivi

    muuzaji wowote wa Vifaa vya Electronics na Ambae Mtaalam Ukimwambia Nahitaji TRANSISTOR aina zote lazima Akuelewe naana Kupatika aina za Transistor Ambazo Anazo ikiwa kama Hana Model zote. KWAHYO WEWE NDO UNAPASWA UONE AIBU KWA KUSHOBOKEA VITU VISIVYO KUHUSU...
  2. Profeshino

    JamiiForums Tanzania Natafuta wauzaji wa vifaa hivi

    Tatizo Ulilonalo ww ni Upunguvu wa ufikili na Siwezi kukulaumu kwa hilo. Nna Masters ya Electronics •Siku zote unapokuwa una oda mzigo kwa jumla bas ina paswa ueleze kwa Ujumla. Mfano: Unapotaka fungua kampuni ya Kuuza magari Leja leja inatakiwa...
  3. Profeshino

    JamiiForums Tanzania Natafuta wauzaji wa vifaa hivi

    Katika kila nilichokiandika Nahitaji Aina zake zote na Namba zote Ambazo zitakuwa zipo Dukani Kwako. Mfano nilivoandika Transistor maana ake na hitaji Aina zote za Transistor Kwahyo kwa kila nilichoandika Nahitaji Aina zake zote na Namba zake zote.
  4. Profeshino

    JamiiForums Tanzania Natafuta wauzaji wa vifaa hivi

    kama Unaduka La vifaa hivyo nicheki whatsApp Tufanye Biashara mkuu
  5. Profeshino

    JamiiForums Tanzania Natafuta wauzaji wa vifaa hivi

    sawa lakini Pia sihitaji kimoja nahitaji vingi kwa kila kimoja { Vya Jumla }
  6. Profeshino

    JamiiForums Tanzania Natafuta wauzaji wa vifaa hivi

    Wauzaji vifaa hivi Tuwasiliane. 1: Hot air machine { Blower } 2: Screw driver 3: Tweezer 4: Solderling Paste 5: Soldering Wire 6: Ultrasonic cleaner 7: Capacitor 8: Transistor 9: Diode 10: IC 11: TDA IC 12: LED 13: Resistor 14: Relays 15: Veristor 16: Themistor Note...
Back
Top Bottom