Recent content by Prof Phraoh AI

  1. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Wale Msioamini Mauzauza, Hili ndo jini linalokuja kama Paka?

    hakuna chochote kinachoashiria mauza uza kwenye video na kwenye maelezo yako !
  2. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Kwanini mandhari na uzuri wa asili kwa kuuangalia tu au kusikia sauti za uzuri huo unamkosha sana binadamu? Majadiliano na atheists Ep5

    hilo sio neno kama unavyosema, ni concept ambayo ina mambo mengi ambayo unaweza kuelezewa kwa documentary hata ya masaa mawili
  3. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Kwanini mandhari na uzuri wa asili kwa kuuangalia tu au kusikia sauti za uzuri huo unamkosha sana binadamu? Majadiliano na atheists Ep5

    ndio uisome na kuitafakari au nikupe link ya documentary uiangalie ikielezewa kwa undani
  4. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Kwanini mandhari na uzuri wa asili kwa kuuangalia tu au kusikia sauti za uzuri huo unamkosha sana binadamu? Majadiliano na atheists Ep5

    una uhakika upi unaokufanya useme kwamba ulimwengu ulijiumba na hauhitaji muumbaji. hii ni sehemu ya muhimu sana ambayo nataka kuijua pia nionyeshe mfani wa ujinga niliouandika, huenda hujaelewa kisha nitakuelewesha nilichomaanisha
  5. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Kwanini mandhari na uzuri wa asili kwa kuuangalia tu au kusikia sauti za uzuri huo unamkosha sana binadamu? Majadiliano na atheists Ep5

    kama definition ndo hiyo, Umeitoa kwa Kiranga unajidanganya na ume mezeshwa tango pori Theist tuna amini ulimwengu haukujiumba bali kuna chanzo cha kila kitu, Nguvu ambayo ikikwepo yenyewe bila kuumbwa ( Necessity Being ) akili ambayo ndo chanzo cha formula na codes zote zinazouendesha...
  6. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Kwanini mandhari na uzuri wa asili kwa kuuangalia tu au kusikia sauti za uzuri huo unamkosha sana binadamu? Majadiliano na atheists Ep5

    sasa kama mnataka kujua si inamaanisha hamjui bado ? je jibu la uhakika la kwamba Mungu hayupo mmepata wapi ? kama standard inayotumika kutofautisha imani na kujua ni sayansi na sayansi yenyewe inasema haijui, kwanini hautaki kukubali kwamba ninyi pia mna amini ?
  7. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Kwanini mandhari na uzuri wa asili kwa kuuangalia tu au kusikia sauti za uzuri huo unamkosha sana binadamu? Majadiliano na atheists Ep5

    sisi tukiambiwa tuna Imani hatukatai. kwanini nyie mkiambiwa mna imani mnakataa wakati nyie manaanini kwenye kuto kuwepo. belief in absence hamna ushahidi na uhakika wa kutokuwepo ila kwa sababu zenu mmeamua kupinga na kusema mna. uhakika kwamba kitu hicho hakipo kwanini hamkusema hamjui...
  8. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Kwanini mandhari na uzuri wa asili kwa kuuangalia tu au kusikia sauti za uzuri huo unamkosha sana binadamu? Majadiliano na atheists Ep5

    kuna muda ulitoa mfani ea nyoka nikajibu: ‎Mfano wako unafanya kazi kama tunazungumza kuhusu nyoka wa kawaida kiumbe anayeishi ndani ya ulimwengu unaoweza kupimwa. ‎ ‎nakama ulivosema kwamba mimi ndiye ninayedai, hivyo mimi ndiye natakiwa kuthibitisha ‎lakini hap tunazungumza kuhusu chanzo cha...
  9. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Kwanini mandhari na uzuri wa asili kwa kuuangalia tu au kusikia sauti za uzuri huo unamkosha sana binadamu? Majadiliano na atheists Ep5

    sasa kwanini atheists mnasema kwa uhakika 'Hayupo' kama unasema hakuna ushahidi ? kwanini hukusema haujui ? umesema dai la kwamba Mungu yupo limeanzia kwetu, kwanini umekuja na jibu la moja kwa moja kua hayupo ? kwanini usingebaki kusema hujui ? umepata wapi jibu hilo ? wakati huohuo sayansi...
  10. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Kwanini mandhari na uzuri wa asili kwa kuuangalia tu au kusikia sauti za uzuri huo unamkosha sana binadamu? Majadiliano na atheists Ep5

    kama unachosema ni kweli na unakimaanisha, Basi bakini na jibu moja kwamba Hatujui na sio kusema "hayupo" na ukisema haujui wewe sio Atheist tena
  11. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Kwanini mandhari na uzuri wa asili kwa kuuangalia tu au kusikia sauti za uzuri huo unamkosha sana binadamu? Majadiliano na atheists Ep5

    Hakuna sababu za wewe kutakiwa kuamini upande fulani, Hapa nimeleta majadiliano baina ya pande hizi mbili níkiamini majadiliano haya yatatoa insight kwa wengine wote kuona pande ipi ina hoja ipi na pande ipili ina hoja nyingine. katika pande hizi mbili zote, Sayansi haina uwezo wa kusema upande...
  12. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Kwanini mandhari na uzuri wa asili kwa kuuangalia tu au kusikia sauti za uzuri huo unamkosha sana binadamu? Majadiliano na atheists Ep5

    ‎Nimewaita ili mjantujadiliane najua sayansi haiwezi kuthibitisha uoande wowote ‎ ‎na hilo ndilo unalolikimbia wewe. ‎mimi sijawahi kudai Mungu amethitbitishwa 100%. na sayansi ‎ ‎ ‎lakini ninadai kwamba hypothesis yangu kwamba nguvu yenye akili ndio chanzo cha ulimwengu, inafanya kazi vizuri...
  13. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Kwanini mandhari na uzuri wa asili kwa kuuangalia tu au kusikia sauti za uzuri huo unamkosha sana binadamu? Majadiliano na atheists Ep5

    ‎Nilisha kwambia wazi kwamba Natumia AI kama chombo cha utafiti kama vile unavyotumia Google, vitabu, au encyclopedia. na naweza kusema ni chombo changu kikuu cha kuoata details kwa haraka, chombo sio tatizo hata siku moja swali ni je, mawazo yanayotolewa yana mantiki au la? ‎ ‎Hoja mbaya...
  14. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Kwanini mandhari na uzuri wa asili kwa kuuangalia tu au kusikia sauti za uzuri huo unamkosha sana binadamu? Majadiliano na atheists Ep5

    nataka nijue kwanini wana uhakika kwamba Mungu hayupo, nataka kujua uhakika huo wameutoa wapi wakati science haina jibu kuhusu hilo
Back
Top Bottom