Recent content by Prof Koboko

  1. Prof Koboko

    Jinsi milioni 500 za Rais Samia zinavyotafunwa Halmashauri ya Ikungi-Singida

    Mnanyanyasa wananchi mnawatoza Tozo halafu pesa zinaliwa? Hivi hatari sana mnapata dhambi mtakufa midomo wazi
  2. Prof Koboko

    Jinsi milioni 500 za Rais Samia zinavyotafunwa Halmashauri ya Ikungi-Singida

    Nchi hii ni kama haina mwenyewe Mkushi. Sasa huyo DED si Mteule wa Rais?
  3. Prof Koboko

    Jinsi milioni 500 za Rais Samia zinavyotafunwa Halmashauri ya Ikungi-Singida

    Hivi TAKUKURU si ndio wa wilaya hiyo hiyo wanaopewa mafuta ya gari na DED? Acheni kuchezea wafu ninyi.Hapo aende CAG na TAKUKURU toka makao makuu, hao wa Wilayani ni Rubbish wale wale
  4. Prof Koboko

    Wakili Madeleka awaanika 'wasiojulikana' kwa majina

    Hawa mbona wanajulikana, nenda Ofisi za TISS au Polisi kanda ya Dar mbona majina yao ni maarufu kwenye ofisi zao? Wote hao Jimmy,Comando, na huyo Ado wanajulikana na hata Baa wanashinda sana twawajua wengine majina yao ni Fake mitandaoni kasoro la Ado. Muulize nduguyo aliyeko ofisi za TISS...
  5. Prof Koboko

    Waziri Ummy Mwalimu na Wizara ya Afya kwa ujumla, chukueni ushauri huu msipotoshwe mtakosea

    Hao ndio Wafamasia bwana bora na wewe umeliona hilo. Unauli kuhusu hiki wao wanajibu kile. Unatoa ushauri wao wanakuambia ni bifu na wao. Mifumo yetu ya Elimu Tanzania ni tatizo kubwa sana
  6. Prof Koboko

    Waziri Ummy Mwalimu na Wizara ya Afya kwa ujumla, chukueni ushauri huu msipotoshwe mtakosea

    Pia huna credibility ya kujibu hoja za Prof Daktari na Mwalimu mwenye PhD ya Human Anatomy. Wewe hizi hoja si level yako ungepita tu kushoto kwa kusoma na kuacha badala ya kuhangaika kama unavyofanya hapa. Halafu ninyi sijui mashuleni mliemda kufanya nini. Nikufunde kidogo, ukiona mtu ameleta...
  7. Prof Koboko

    Waziri Ummy Mwalimu na Wizara ya Afya kwa ujumla, chukueni ushauri huu msipotoshwe mtakosea

    Hoja yako hapa ni ipi maana zaidi ni unalalamika na kutukana tu? Huoni kufanya hivi ni ujinga mtupu? Kwa majibu haya unataka nikujibu nini maana hujajibu hoja hata moja? Una akili sawa sawa?
  8. Prof Koboko

    Waziri Ummy Mwalimu na Wizara ya Afya kwa ujumla, chukueni ushauri huu msipotoshwe mtakosea

    Huu ndio ukweli wenyewe na ni wabishi na wazembe sana
  9. Prof Koboko

    Waziri Ummy Mwalimu na Wizara ya Afya kwa ujumla, chukueni ushauri huu msipotoshwe mtakosea

    Ni bora ukabainisha ni kipi kinapotoshwa ili ujibiwe baada ya kwenda na personal attacks. Kusema kwamba Anatomy na Physiology haimfanyi Mfamasia kufanya Diagnosis ninupotoshwaji? Kusema ya kwamba 99% ya wafamasia hawakai kwenyeaduka ya dawa ni upotoshwaji? Kusema pesa wanazolipwa wafamasia kwa...
  10. Prof Koboko

    Waziri Ummy Mwalimu na Wizara ya Afya kwa ujumla, chukueni ushauri huu msipotoshwe mtakosea

    Itakua ni bahati mbaya sana kujibu ujinga huu. Bainisha ni kipi sikijui na tatizo liko wapi, ni kipi ambacho kwa hisia zako sikijui. Kama unajua kuhusu tasnia ya Afya jibu hoja zaal mada iliyopo humu usinipotezee muda humu kwa vile sikijui. Tunaongelea mambo ya msingi kwa taifa wewe unakuja na...
  11. Prof Koboko

    Waziri Ummy Mwalimu na Wizara ya Afya kwa ujumla, chukueni ushauri huu msipotoshwe mtakosea

    Ukiambiwa kua huna akili au hutumii vizuri akili yako utasema unatulanwa? Kuna mahali hapa kwenye hili andiko nimeandika kua TMDA hawakagui dawa? Mimi nimesema duniani kote hii kazi hufanywa na FDAa au TMDA pekee kwa Tanzania hili ndilo jukumu lao na PC wabakie kusajili wataalam wa Famasia na...
  12. Prof Koboko

    Waziri Ummy Mwalimu na Wizara ya Afya kwa ujumla, chukueni ushauri huu msipotoshwe mtakosea

    Nikushauri tunusiwe mzembe kwenye kusoma. Soma between lines ujiridhishe kua mimi siyo Daktari wala mtaalam wa afya. Nachelea kukutita mzembe kwa sababu hakuna ulichochangia na wala hujajibu hoja yeyote humu. Andiko la msomi na siyekua msomi linajieleza wazi, kuna kitu chenye shaka hapa au...
  13. Prof Koboko

    Waziri Ummy Mwalimu na Wizara ya Afya kwa ujumla, chukueni ushauri huu msipotoshwe mtakosea

    Kosa la mtu mwingine lisikupelekee na wewe kuvunja sheria ndugu. Huu ni ukweli mtupu na wala hakuna chuki na mtu kama ambavyo mmekuwa mkifikiria kua maslahi yenu yamegeuzwa. Msiipotoshe serikali simsmieni katika ukweli. Mbona hamjibu hoja ya ushauri kua duniani kote ukaguzi wa dawa hufanywa na...
  14. Prof Koboko

    Waziri Ummy Mwalimu na Wizara ya Afya kwa ujumla, chukueni ushauri huu msipotoshwe mtakosea

    Tunatahitaji kuona taratibu zinafuatwa katika kila sekta kwa mujibu wa shetia. Tumeona kuna shemu mnalalamika ya kwamba mnalisaidia sana taifa, hivi kuna msaada mkubwa kwa taifa kama kulipa kodi? Kama kuna Wafamasia hawakai kwenye maduka wanayoyasimamia na hawalipi kodi huenda wewe inalipa na...
  15. Prof Koboko

    Waziri Ummy Mwalimu na Wizara ya Afya kwa ujumla, chukueni ushauri huu msipotoshwe mtakosea

    Ndugu yangu, sina shida ndogo ndogo hizo. Kwa level yangu si wa kumiliki DLDM au kutembea na ADDO. Mimi ni mwanataaluma, kazi zangu za utafiti tu zinanitosha hata nisipofundisha.Kazi yangu ni kulisaidia taifa na kulinda afya za watanzania kwa kiapo changu kwa taifa na Mungu wa Mbinguni...
Back
Top Bottom