Hivi TAKUKURU si ndio wa wilaya hiyo hiyo wanaopewa mafuta ya gari na DED? Acheni kuchezea wafu ninyi.Hapo aende CAG na TAKUKURU toka makao makuu, hao wa Wilayani ni Rubbish wale wale
Hawa mbona wanajulikana, nenda Ofisi za TISS au Polisi kanda ya Dar mbona majina yao ni maarufu kwenye ofisi zao? Wote hao Jimmy,Comando, na huyo Ado wanajulikana na hata Baa wanashinda sana twawajua wengine majina yao ni Fake mitandaoni kasoro la Ado. Muulize nduguyo aliyeko ofisi za TISS...
Hao ndio Wafamasia bwana bora na wewe umeliona hilo. Unauli kuhusu hiki wao wanajibu kile. Unatoa ushauri wao wanakuambia ni bifu na wao. Mifumo yetu ya Elimu Tanzania ni tatizo kubwa sana
Pia huna credibility ya kujibu hoja za Prof Daktari na Mwalimu mwenye PhD ya Human Anatomy. Wewe hizi hoja si level yako ungepita tu kushoto kwa kusoma na kuacha badala ya kuhangaika kama unavyofanya hapa. Halafu ninyi sijui mashuleni mliemda kufanya nini.
Nikufunde kidogo, ukiona mtu ameleta...
Hoja yako hapa ni ipi maana zaidi ni unalalamika na kutukana tu? Huoni kufanya hivi ni ujinga mtupu?
Kwa majibu haya unataka nikujibu nini maana hujajibu hoja hata moja? Una akili sawa sawa?
Ni bora ukabainisha ni kipi kinapotoshwa ili ujibiwe baada ya kwenda na personal attacks.
Kusema kwamba Anatomy na Physiology haimfanyi Mfamasia kufanya Diagnosis ninupotoshwaji? Kusema ya kwamba 99% ya wafamasia hawakai kwenyeaduka ya dawa ni upotoshwaji? Kusema pesa wanazolipwa wafamasia kwa...
Itakua ni bahati mbaya sana kujibu ujinga huu. Bainisha ni kipi sikijui na tatizo liko wapi, ni kipi ambacho kwa hisia zako sikijui. Kama unajua kuhusu tasnia ya Afya jibu hoja zaal mada iliyopo humu usinipotezee muda humu kwa vile sikijui. Tunaongelea mambo ya msingi kwa taifa wewe unakuja na...
Ukiambiwa kua huna akili au hutumii vizuri akili yako utasema unatulanwa?
Kuna mahali hapa kwenye hili andiko nimeandika kua TMDA hawakagui dawa?
Mimi nimesema duniani kote hii kazi hufanywa na FDAa au TMDA pekee kwa Tanzania hili ndilo jukumu lao na PC wabakie kusajili wataalam wa Famasia na...
Nikushauri tunusiwe mzembe kwenye kusoma. Soma between lines ujiridhishe kua mimi siyo Daktari wala mtaalam wa afya. Nachelea kukutita mzembe kwa sababu hakuna ulichochangia na wala hujajibu hoja yeyote humu.
Andiko la msomi na siyekua msomi linajieleza wazi, kuna kitu chenye shaka hapa au...
Kosa la mtu mwingine lisikupelekee na wewe kuvunja sheria ndugu. Huu ni ukweli mtupu na wala hakuna chuki na mtu kama ambavyo mmekuwa mkifikiria kua maslahi yenu yamegeuzwa. Msiipotoshe serikali simsmieni katika ukweli.
Mbona hamjibu hoja ya ushauri kua duniani kote ukaguzi wa dawa hufanywa na...
Tunatahitaji kuona taratibu zinafuatwa katika kila sekta kwa mujibu wa shetia. Tumeona kuna shemu mnalalamika ya kwamba mnalisaidia sana taifa, hivi kuna msaada mkubwa kwa taifa kama kulipa kodi?
Kama kuna Wafamasia hawakai kwenye maduka wanayoyasimamia na hawalipi kodi huenda wewe inalipa na...
Ndugu yangu, sina shida ndogo ndogo hizo. Kwa level yangu si wa kumiliki DLDM au kutembea na ADDO. Mimi ni mwanataaluma, kazi zangu za utafiti tu zinanitosha hata nisipofundisha.Kazi yangu ni kulisaidia taifa na kulinda afya za watanzania kwa kiapo changu kwa taifa na Mungu wa Mbinguni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.