tatizo hujaifikirisha akili yako zaidi ya hapo na kama ungejaribu japo kidogo ungetambua ya kwamba matatizo ya kuwakata bila nafasi ya kujitetea ni madogo kuliko yatayojitokeza endapo watapangiwa kozi zenye priority halafu wakakosa mkopo na wakaamua kuappeal kisha kurekebisha makosa yao,je...
kuna shule zimechoka hata hiyo elfu 50 haitoshi mfano shule ya kigonsera mabweni yamechakaa na kila moja linahitaji si chini ya milion 50 na serikali hata haijali.sasa kumbe nani awajibike kama si wewe mwanafunzi ambae unaishi humo kwa sababu likianguka ni hasara kwako wewe na familia yako...
Mbona iyunga,mbeya na samora machel secondary hazimo wakati iyunga ni ya 126 na mbeya day ni ya 113 na ni shule za serikali, kama wameangalia ukongwe wa shule kama kigezo mbona iyunga pia ilianza kabla ya uhuru?.Naomba unipe ufafanuzi juu ya hizo shule kutokuwepo katika 20 bora wakakati...
Nimefuatilia sana mabishano kati ya udom na udsm ila sijaona mantiki ya hiki kitu wana udsm wamekua wakiponda bila kutoa hoja za kisomi na kufanya nishindwe kujua umwamba wao uko wapi,ninachojua sio kila mtu anaenda udom kwa kukosa nafasi udsm ila inawezekana faculty anayosoma haipo udsm,na sio...
Shule za serikali hata kama ni special ili mwanafunzi afaulu lazima awe mpiganaji la sivyo atafeli.Nakumbuka nikiwa form 2 Tanga tech mwalimu wa chemistry aliingia darasani mara 2 tu mwaka mzima lakini matokeo yalipotoka A zilikua 82 na B za kutosha halafu wanafunzi 7 walipata 100, headmaster...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.