Tabia huwa haina rangi wala kabila. Kuna wachaga wakarimu kama ambavyo kuwa wasukuma wachoyo na wabahiri. Ukitaka kutumia akili zako tumia kwa asilimia mia moja kwa umakini na uangalifu, lakini pia ukitaka kumtumaini Mungu mwamini kwa asilimia zote, huwa hachanganywi na hapendi kuchanganywa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.