Habari zenu wapendwa.
Samahani mimi nina kero ya mlipuko wa ushuru wa wafanya biashara malipo ya ushuru yamekuwa mengi halafu hayana kichwa wala miguu sijui wenzangu mnalionaje ushuru ulioniuma zaidi ni ushuru wa mabango sijaelewa hii serikali kama inajielewa najiuliza kama nisingeweka bango...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.