Ni kheri ufungwe Gerezani kuliko kufungwa akili ya kujitambua.
Ukiwa Gerezani utakula, ndugu, rafiki na jamaa watakutembelea na kukutia moyo, siku moja utakuwa huru hata kwa msamaha wa Rais.
Lakini ukifungwa akili ya kujitambua mabaya yote kwako huwa mema, na mema yote kwako huwa mabaya...
Asante kwa ushauri kaka yangu.
Nilifikiri atoke boarding na kuwa day ili baada ya masomo aweze kujishughulisha na vikazi ili aweze balance kidogo. Mawazo yangu yanaweza kuwa sio sahihi jamani msisite kunishauri na kunisaidia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole kwake, lakini tusimlaumu sana hii dunia ina mambo mengi yanayoonekana na yasiyowezekana, huenda yupo makini sana lakini alizidiwa kete.
Kawaida jambo linapotokea kwa mtu ni rahisi sana kuliongelea pindi unakutana nalo wewe sentensi huwa,,,sielewi kilichotokea nilimeshtuka nipo hapa.
Sent...
Ndiyo hiyo ni kwa mwaka, ni chuo cha serikali. Lakini pia kuna mahitaji mengine hawajaweka item of money, mfano: uniforms in general.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu fuatilia majibu yangu vielelezo vyote nimeweka, mpaka account namba ya chuo, control number na code. Hapo utapeli upo wapi?
Ni mbaya sana ukamuhukumu mtu lakini badae ukatambua umemuhukumu bila kosa, tuwe na kiasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.