Hili tatizo limekua sugu na la muda mrefu. Tabora tunatumia maji ya vyanzo tofauti. Kuna maji ya mradi wa ziwa Victoria na maji yanayotoka bwawa la Igombe.
Sasa haya maji yanayotoka bwawa la igombe kupitia TANK LAKE KUBWA la mlima wa FILTER uliopo kazehil Wamekua wakizidisha sana dawa kiasi...
Kwa wale ambao mmefungiwa hizi mita mpya za digital ambazo wanazibadilisha kipindi mtakua mnajua kuhusu suala la UNIT kwenda speed kuliko zile mita za awali.
Mfano mimi natumia umeme wa 50,000/ mwezi mzima na unit zinabaki kidogo. Lakini kwa sasa kwenye hizi mita mpya umeme huo wa 50,000...
Wewe ndiye mjuaji usiyejua. Hapa tunazungumzia gari binafsi ya askari wa kawaidia kuweka weka namba za hovyo. Au wewe unashirikiana nao kwenye hizo deal zenu haramu? Ndio maana mkistaafu mnakua na hali mbayaaaaaa. Misiba yenu haina watu. Unyanganyi na dhulma vinawatufuna. Karibu tena.
Hizo ni zile zinazo taifishwa kisheria na ndio maana zina rangi ya polisi. Ungeelewa mada ungeelewa. Hizo tayari ni Mali ya serikali sio mtu binafsi na ukiziona tu unajua ni polisi. Suala hapa ni gari binafsi. Dar , mwanza arusha zipo harrier , fortuner, probox nk. Zote zina rangi official...
Mfano hii unayoiona hapa ina zaidi ya miaka mitatu ina NAMBA HIZI. Gari hii iko Mwanza.
Kuna gari binafsi za polisi kwenye Boot (buti) unakuta kuna NUMBER PLATES nne mpaka tano tofauti.
Za nini? Za kazi gani? Kwanini kwenye gari binafsi?
Tunaomba serikali ifuatilie jambo hili, linatupa...
Huu ni ushamba wa Tanzania tu. Nchi zilizoendelea hazina ujinga huu. Askari wa kawaida anataka kujidai usalama. Wengine wanafanya magendo ipo watajulikana.
Tabia hii imekithiri na mamlaka hazikemei.
Wanaoongoza kwa plate namba za kugushi ni Polisi tena kwenye gari zao binafsi sio za ofisi.
Leo unaikuta na namba ya kenya, wiki ijayo chassis number, mwezi ujao namba hazieleweki.
Kuna wakati unakutana na gari ya mwaka 2024 ila nina namba A series...
Kumekua na tabia ya shule hizi kuchangisha wazazi mara pesa za picnic, mara study tour, mara graduation na pesa ya mpiga picha elfu 10 picha 1 (hii ni ajabu).
Sasa kwenye michango hiyo wamgeuza ni vitega uchumi. Mfano kuna shule moja mkoani tabora ilichangisha michango watoto waende picnnic...
Kuna baadhi ya maeneo mkoani tabora maji yanayotoka kwenye mfumo wa mabomba chini ya TUWASA yana harufu kali sana ya madawa. Hali hii ni tokea mwaka jana mwishoni hadi sasa. Harufu hiyo kero sana hasa pale unapoamua kuchemsha maji hayo ufanye yawe maji ya kunywa. Unakunywa maji yakiwa na harufu...
Pale makoroboi stand ya dalala, kuna tuta(bump) kubwa, baada ya tuta hilo kuna mashimo makubwa sana katikati ya barabara.
Cha ajabu kwenye tuta hilo na chini ya tuta hilo utakuta zimepaki dalala juu ya tuta, zinapaki daladala tatu hadi nne kwa upana na kuacha sehemu ndogo sana ya barabara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.