Wakuu habari,
Miongoni mwa mambo yanayonitafakarisha ni haya hapa:
1. Watu kula na kunywa msibani
2. Watu kupigania chakula msibani
3. Watu kuwashangaa na kuwachukukia wasiokula msibani.
Najiuliza kuna sababu gani ya msingi, mtu anayetokea nyumbani kwake mwendo wa hatua 10, 40, 100 au hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.