Habarini wana jf,Mimi ni msichana elimu yngu kidato cha nne,pia nimepitia mafunzo ya utoaji wa dawa duka la madawa yaliyoendeshwa na TFDA mwaka 2012,Nina cheti cha addo ,ninahitji sehem ya kuuza duka La madawa sehemu yoyote ndani ya mji wa dar ninapatikana mlandizi kibaha namba zangu...
Mi mwenyewe tngu mwaka Jana nimepost kuhusu swala la kuuza duka la madawa Nina cheti cha addo na nursing mwaka mmja lkn mpka ss sjaona chochot my no 0712863626
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.