Recent content by PrimeTech255

  1. PrimeTech255

    INAUZWA HIK Vision Wametoa CCTV Camera ni za moto sana! "Smart Hybrid Light Cctv Camera"

    Kwa Sasa camera zipo za ubora tofauti tofauti mkuu hivo ni maamzi ya bank husika ama mtu husika kuchagua ubora anaoutaka yeye (kiufupi kwenye Cctv Kwa Sasa unapewa unacholipia) ila camera Bora zipo sana tu!!!
  2. PrimeTech255

    INAUZWA HIK Vision Wametoa CCTV Camera ni za moto sana! "Smart Hybrid Light Cctv Camera"

    👉 Kwanza hizi camera Zina Zina quality Bora yenye 2MP 👉 Na zinaonesha rangi halisia iwe mchana ama usiku 👉 Ina technologia ndani yake "Smart Hybrid Light" mahususi Kwa ajili ya kuimalisha ulinzi na kukupa machaguo zaidi kwenye suala zima la mwanga wa video zinazorekodiwa. 👉 Zinapatikana Kwa...
  3. PrimeTech255

    Phone4Sale Simu za mezani zinapatikana Kwa bei ya kutupa

    Karibu boss kama una swali !!
  4. PrimeTech255

    Huu Hapa Mfumo Unaoongoza Kufungwa Kwa Sasa Majumbani

    Hapana mkuu unless uwe na power back up umeme unapokatika
  5. PrimeTech255

    Huu Hapa Mfumo Unaoongoza Kufungwa Kwa Sasa Majumbani.

    ✨ Takribani miaka 10 imepita tokea Dunia ipokee ugunduzi wa mjasiriamali mmoja Bw Jamie Siminoff . Yes ilikuwa mwishoni mwa Mwaka 2013 video door bell ya kwanza ilivogundulika na kuingizwa sokoni na mpaka kufikia Mwaka 2020 rekodi zinasema video door bell milioni 7.9 zimefungwa Kwa watu mbali...
  6. PrimeTech255

    Huu Hapa Mfumo Unaoongoza Kufungwa Kwa Sasa Majumbani

    ✨ Takribani miaka 10 imepita tokea Dunia ipokee ugunduzi wa mjasiriamali mmoja Bw Jamie Siminoff . Yes ilikuwa mwishoni mwa Mwaka 2013 video door bell ya kwanza ilivogundulika na kuingizwa sokoni na mpaka kufikia Mwaka 2020 rekodi zinasema video door bell milioni 7.9 zimefungwa Kwa watu mbali...
  7. PrimeTech255

    Phone4Sale Simu za mezani zinapatikana Kwa bei ya kutupa

    Hongera karibu pia dukani kwetu 🙏
  8. PrimeTech255

    Phone4Sale Simu za mezani zinapatikana Kwa bei ya kutupa

    Bado simu za mezani zimeendelea kuwa hitaji kubwa hasa Kwa watu wenye ofisi ambao wanahitaji mawasiliano muda wote (kuwa hewani) Pia Kwa familia hii simu inakuhakikishia upatikanaji wa watu wako wa muhimu muda wote. ✨ Hata maeneo ambayo mtandao ni korofi basi hii simu ni suruhisho la kudumu...
  9. PrimeTech255

    Jipatie CCTV Camera Bora na za kisasa uweze kutizama eneo lako kila unapokwenda kwa gharama rafiki

    Zipo mkuu nyingi tu Kama hutojali tuwasiliane hapa👇 0765576003
  10. PrimeTech255

    Jipatie CCTV Camera Bora na za kisasa uweze kutizama eneo lako kila unapokwenda kwa gharama rafiki

    Hujakosea mkuu pisi moja ni Tsh 165,000 ikiwa na memory card yake 32GB (Upekee na utendaji kazi wake ndo umeamua bei) Ila dukani tunazo camera za kuanzia 45,000 hivo hiyo ni bei ya hii camera tunayoizungumzia hapa!!
Back
Top Bottom