Recent content by Pretty R.

  1. Pretty R.

    Udhalilishaji huu wa wanawake ni jipu linalokua kwa kasi

    Kitu kingine, usitafute umaarufu/soko kwenye thread za watu, nenda instagram bidada.@Dereva wa Kirikuu.
  2. Pretty R.

    Udhalilishaji huu wa wanawake ni jipu linalokua kwa kasi

    Nina wasiwasi kama sio mmojawapo wa wale waliojianika kwenye ile video, basi ni demu wa mmojawapo wa hao wenye hizo video, maana povu hilo linalokutoka sio la bure. Dereva wa Kirikuu.
  3. Pretty R.

    Udhalilishaji huu wa wanawake ni jipu linalokua kwa kasi

    Asante sana kwa kuelewa nilipotaka kugusia, huko tupo na foolish ages, hakuna mtu mzima na heshima zake anayeweza Ku support. markbusega.
  4. Pretty R.

    Udhalilishaji huu wa wanawake ni jipu linalokua kwa kasi

    Hiyo mitandao watoto hawana access nayo kama ambavyo wanaangalia TV. Hofu yangu ni kuwaharibu watoto wakiwa wadogo, wakue wakidhan hayo ndo maadili. Idimi.
  5. Pretty R.

    Udhalilishaji huu wa wanawake ni jipu linalokua kwa kasi

    Hivi kubinua na kukaa uchi ni sawa? Nitoe ushamba mkuu. LUBEDE
  6. Pretty R.

    Udhalilishaji huu wa wanawake ni jipu linalokua kwa kasi

    Umeshasema R Kelly na Jayz sio hapa Tanzania, hatuna utamaduni huo, ya America usifananishe na bongoland. @ Idimi.
  7. Pretty R.

    Udhalilishaji huu wa wanawake ni jipu linalokua kwa kasi

    Sasa hivi dancers hawana kazi tena.
  8. Pretty R.

    Udhalilishaji huu wa wanawake ni jipu linalokua kwa kasi

    Hivi hiki chombo huwa kinafanya kazi kweli? Au ndo kuendekeza njaa tu, wakipewa kitu kidogo wanaachia tu aibu kama hizo zipigwe kwenye public? @ Mungu Mweusi.
  9. Pretty R.

    Udhalilishaji huu wa wanawake ni jipu linalokua kwa kasi

    Huwa wanatembea wamevaa bikini barabarani? sijawahi kukutana nao kwakweli. Hebu tuungane kukemea huu utamaduni ambao watoto wetu watapata effect moja kwa moja, kwasababu ndo wanashinda kwenye TV kila mara.
  10. Pretty R.

    Udhalilishaji huu wa wanawake ni jipu linalokua kwa kasi

    Nijifunze nisiyoyajua!! Kumbe kutembea maungo yakiwa wazi ni ujanja, Mungu akusamehe coz inawezekana ubongo wako umejaa funza. @ Dereva wa Kirikuu.
  11. Pretty R.

    Udhalilishaji huu wa wanawake ni jipu linalokua kwa kasi

    Asante sana wewe unaekwenda na wakati, nadhani wewe ni mmojawapo wa wale waliokuwa wakionesha makalio, sorry kwa kukuharibia soko @ Dereva wa Kirikuu.
  12. Pretty R.

    Udhalilishaji huu wa wanawake ni jipu linalokua kwa kasi

    Umeshasema instagram, atleast huko mnaingia wenyewe kuangalia, lakini TV mpaka watoto wanaangalia.
  13. Pretty R.

    Udhalilishaji huu wa wanawake ni jipu linalokua kwa kasi

    Asante mkuu kwa kuliona hilo, tatizo la JF imevamiwa na watoto ambao wapo kwenye foolish age, ndo hao wanaoshabikia huo upumbavu.
  14. Pretty R.

    Udhalilishaji huu wa wanawake ni jipu linalokua kwa kasi

    Mpaka watoto walale ndo uwashe tv@ Bukwabi.
Back
Top Bottom