Ukitaka upige hela vigawanishe kwa 400sqms kila utapata 3 (1,200sqms) kinachobakia 549 uza kama kilivyo
Kwa kibada i heard that ni 12,000 to 15,000 per sqm ingawa sina uhakika
Ila pia inategemea na eneo, umbali, kikoje tambarale au mabonde, umeme maji pia majirani nk