Recent content by Poultry Sayuni

  1. P

    Jiandae leo maana kesho haitabiriki...,

    BIG UP for JamiiForums [ Jukwaa la Ujasiriamali & Jukwaa la Ufugaji na Kilimo ] Be blessed Wakuu, tunawasalimu ! Tunapenda kutumia fursa hii kuwakilisha kile tunachoamini ni ‘mpenyo’ kwa wengine katika UFUGAJI. Tumia vema weekend yako kujifunza mambo kadha wa kadha muhimu katika ufugaji...
  2. P

    Mayai ya kienyeji /vifaranga wa kienyeji

    Nipatie mawasiliano yako tuone kama tunaweza fanya biashara.
  3. P

    Mayai ya kienyeji /vifaranga wa kienyeji

    Wanapatikana chotara (rir,kuchi, Kenbro) bei bado ni ile ile sh elfu 2000 kwa kifaranga cha siku moja mpaka tatu. Karibu sana
  4. P

    Mayai ya kienyeji /vifaranga wa kienyeji

    Dagaa ya wapi unayo ndugu, wewe unauza bei gani
  5. P

    Wafugaji wa kuku unaweza tena inawezekana

    Nashukuru mkuu, karibu sana
  6. P

    Wafugaji wa kuku unaweza tena inawezekana

    Thanks mkuu, Nitakutumia
  7. P

    Wafugaji wa kuku unaweza tena inawezekana

    Inawezekana mkuu, ila jaribu kutembelea bank mbalimbali utapata taarifa sahihi zaidi
  8. P

    Wafugaji wa kuku unaweza tena inawezekana

    Asante mkuu, Tunamshukuru Mungu anayetuwezesha. Karibu sana
  9. P

    Wafugaji wa kuku unaweza tena inawezekana

    Asante mkuu, Karibu sana Poultry Sayuni
  10. P

    Wafugaji wa kuku unaweza tena inawezekana

    Asante mkuu, Ukija tuonane. Pamoja sana.
  11. P

    Wafugaji wa kuku unaweza tena inawezekana

    Kwa sasa hatuna office kwa mikoa hiyo mkuu
  12. P

    Wafugaji wa kuku unaweza tena inawezekana

    Mkuu hiyo dawa inakuwa ktk vichupa viwili, kimoja ni unga unga na kingine ni maji, unachanganya vyote pamoja .
  13. P

    Wafugaji wa kuku unaweza tena inawezekana

    Pole mkuu, Nafurahi kusikia wanaendelea vizuri. Inabidi dawa uwape wote. Kama sio makali unaweza tumia fluban otherwise tylodox ni nzuri kwa mafua makali.
  14. P

    Wafugaji wa kuku unaweza tena inawezekana

    Yaani wa kienyeji pure ni issue kupata. Ukikosa hao wa Ma Joe jaribu kutembelea masoko ya hapa dar unaweza kupata wa kuanzia.
  15. P

    Wafugaji wa kuku unaweza tena inawezekana

    Mkuu usipende kulaumu bila kujua, mbona nilikutumia pengine haikufika. Nimekutumia tena mkuu.
Back
Top Bottom