Recent content by Poultry Sayuni

  1. P

    JamiiForums Tanzania Jiandae leo maana kesho haitabiriki...,

    BIG UP for JamiiForums [ Jukwaa la Ujasiriamali & Jukwaa la Ufugaji na Kilimo ] Be blessed Wakuu, tunawasalimu ! Tunapenda kutumia fursa hii kuwakilisha kile tunachoamini ni ‘mpenyo’ kwa wengine katika UFUGAJI. Tumia vema weekend yako kujifunza mambo kadha wa kadha muhimu katika ufugaji...
  2. P

    JamiiForums Tanzania Mayai ya kienyeji /vifaranga wa kienyeji

    Nipatie mawasiliano yako tuone kama tunaweza fanya biashara.
  3. P

    JamiiForums Tanzania Mayai ya kienyeji /vifaranga wa kienyeji

    Wanapatikana chotara (rir,kuchi, Kenbro) bei bado ni ile ile sh elfu 2000 kwa kifaranga cha siku moja mpaka tatu. Karibu sana
  4. P

    JamiiForums Tanzania Mayai ya kienyeji /vifaranga wa kienyeji

    Dagaa ya wapi unayo ndugu, wewe unauza bei gani
  5. P

    JamiiForums Tanzania Wafugaji wa kuku unaweza tena inawezekana

    Nashukuru mkuu, karibu sana
  6. P

    JamiiForums Tanzania Wafugaji wa kuku unaweza tena inawezekana

    Thanks mkuu, Nitakutumia
  7. P

    JamiiForums Tanzania Wafugaji wa kuku unaweza tena inawezekana

    Inawezekana mkuu, ila jaribu kutembelea bank mbalimbali utapata taarifa sahihi zaidi
  8. P

    JamiiForums Tanzania Wafugaji wa kuku unaweza tena inawezekana

    Asante mkuu, Tunamshukuru Mungu anayetuwezesha. Karibu sana
  9. P

    JamiiForums Tanzania Wafugaji wa kuku unaweza tena inawezekana

    Asante mkuu, Karibu sana Poultry Sayuni
  10. P

    JamiiForums Tanzania Wafugaji wa kuku unaweza tena inawezekana

    Asante mkuu, Ukija tuonane. Pamoja sana.
  11. P

    JamiiForums Tanzania Wafugaji wa kuku unaweza tena inawezekana

    Kwa sasa hatuna office kwa mikoa hiyo mkuu
  12. P

    JamiiForums Tanzania Wafugaji wa kuku unaweza tena inawezekana

    Mkuu hiyo dawa inakuwa ktk vichupa viwili, kimoja ni unga unga na kingine ni maji, unachanganya vyote pamoja .
  13. P

    JamiiForums Tanzania Wafugaji wa kuku unaweza tena inawezekana

    Pole mkuu, Nafurahi kusikia wanaendelea vizuri. Inabidi dawa uwape wote. Kama sio makali unaweza tumia fluban otherwise tylodox ni nzuri kwa mafua makali.
  14. P

    JamiiForums Tanzania Wafugaji wa kuku unaweza tena inawezekana

    Yaani wa kienyeji pure ni issue kupata. Ukikosa hao wa Ma Joe jaribu kutembelea masoko ya hapa dar unaweza kupata wa kuanzia.
  15. P

    JamiiForums Tanzania Wafugaji wa kuku unaweza tena inawezekana

    Mkuu usipende kulaumu bila kujua, mbona nilikutumia pengine haikufika. Nimekutumia tena mkuu.
Back
Top Bottom