Recent content by potokaz

  1. P

    Aliambiwa asicheze na sisi, atakuwa chokolaa! Akafungiwa mwishowe amekuwa choko, Mama yake apigwa na kiarusi,Arusini

    Story yako haifundishi CHOCHOTE cha maana, imejaa dhambi tupu. Ndugu mgeukie Yesu, utubu, Mungu akusamehe.
  2. P

    CCM walivyowanyoosha COVID-19 toka CHADEMA hadi raha!

    Wamekatwa?, Au unatuuliza siee mkuu?
  3. P

    Lissu ameshamshinda Mbowe!!

    How?, Funguka Mkuu
  4. P

    Condom ilipasuka nikiwa katikati ya tendo. Ninaishi kwa hofu bado

    Kijana MUNGU anakupenda. Acha katabia ka Uzinzi na utubu umrudie MUNGU au niseme uokoke. Umeelewa kijana?
  5. P

    Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15

    Hivyo vikao alivyofungiwa ndio sawa na sh. ngapi? Yaani adhabu ya kumzuia kwenda kazini sio?
  6. P

    Mwenye ushawishi mkubwa kisiasa CHADEMA

    Wewe unadhani ni nani?
  7. P

    PreGE2025 Lissu atakuwa mtu wa aina gani? Mbowe alimpambania akiwa hoi, Samia akaenda kumuona Nairobi, leo kawaandalia hotuba za kuwatukana

    LISSU ana First Class with Honours ya Chuo kikuu cha Dar Es Salaam. Best Student wa mwaka wao. Hii itoshe kukuthibitishia kuwa Jamaa sio tu ana akili ni Gineous!
  8. P

    PreGE2025 Tundu Lissu ndio alikuwa anaomba kuwa Rais uchaguzi wa 2020, aibu kubwa sana hii

    Kweli kaka?. Mi nakumbuka mawakili nchi nzima walimchaguaga kwa rais wao. Na inasemekana aliwaongoza VEMA TU!
Back
Top Bottom