Nadhan tatizo sio wadogo zetu tatizo lipo kwa Mtu mwenyewe. Mimi naamini kama mtu upo kwenye mahusiano ukawa na msimamo wako wala sio tatizo maana hata access ya kwenda ama kuonana ipo. hata sisi tulikuwa chuo na tulikuwa na wadada wenye wachumba zao walijiheshimu na mpaka chuo kikaisha...
Shukrani sana Mkuu hatua ya kwanza nimekwisha pita na hakuna mabadiliko aliyoyaonesha, baada ya kutathmini sana nikaona ni vyema nifanye uamuzi mgumu tu wa kumuacha aende zake japo maumivu ni makubwa lakini afadhali narejea kwenye furaha yangu japo taratibu.
Kusema ukweli kwa namna nilivoamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.