Ndo utambue unainfringe haki za watu. Kabla ya kushare hizo movie unatakiwa upate kibali husika ambacho at end of day kitakunufaisha pia kwenye mgao atakaopata huyo mmiliki wa hiyo kazi kutakua na percent yako. Elimu ya hakimiliki na Intellectual Property kwa ujumla bado sana nchini mwetu...
Hii ni excuse ambayo imekua ikitumiwa na copyright infringers. Ifike mahala tutambue wrong is wrong hata kama inanufaisha wrongdoers mfano tunaweza kuona kwenye wasanii wetu wa bongomovies wamekua na majina makubwa ila kipato hamna hii ni kwasababu kazi zao ndiyo zinaongoza kuwa infringed. Elimu...
USIMAMIZI WA HAKI ZA DIJITI/DIGITALI; NINI KIFANYIKE?
Ni ukweli usiofichika teknolojia imekuza uchumi wa nchi hii kwa kasi mno. Kampuni na watu binafsi hasa wafanyabiashara hutumia ulimwengu wa elektroniki (e-world) kama nyanja yao kuu ya mawasiliano na wateja wao. Katika mawasiliano yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.