20PROFF habari natumai wee mzima kaka robo tatu heka ya zao gani sababu kila zao lina gharama tofauti uko mkoa gani. pia huko wanalimia kwa bei gani je unatumia tractor au plau. em nifafanulie tafadhari mkuu...nakuomba
habari
wakuu ni matumaini yangu ni wazima kwa majina naitwa KELVIN GODFREY
jinsia ni mwanaume wa miaka 25, ni nimhitimu kozi ya kilimo na mifugo (diploma).
Naomba kama kuna yeyote ataweza kuwa na mradi au kazi yoyote ya halali inayohusiana na taaluma yangu naomba wezekunipa ata kama ndo...
Ndugu ni matumaini yangu ni wazima.
Kwa majina, naitwa KELVIN GODFREY, jinsia ni mwanaume wa miaka 25. Ni mhitimu kozi ya kilimo na mifugo(diploma).
Naomba kama kuna yeyote ataweza kuwa na mradi au kazi yoyote ya halali inayohusiana na taaluma yangu naomba aweze kunipa hata kama ndo inaanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.