Recent content by Plaintiff

  1. Plaintiff

    Polisi wa Zanzibar kuwakamata watu kisa kuwakuta wakila mchana kipindi cha Ramadhan ni uvunjifu wa sheria za Nchi

    Dini ya Wanafiki hiyo. Mungu asiyeweza kujitetea mwenyewe mpaka watu washike viboko huyo hastahili kuwa Mungu. Funga ya kweli mtu aridhie kutoka katika moyo wake na siyo kulazimisha watu. Mungu hajawahi kuwa hivi.
  2. Plaintiff

    Kwa Shilingi 400/= unaweza kupika maharage mpaka yakaiva ukiwa na jiko la umeme(Induction cooker)

    Hiyo 400 ni maximum lakini 0.6unit haifiki hata hiyo 400. 400 hata iwe kijiji gani ni mkaa usioivisha maharage
  3. Plaintiff

    Kwa Shilingi 400/= unaweza kupika maharage mpaka yakaiva ukiwa na jiko la umeme(Induction cooker)

    Marehemu baba yangu miaka hiyo amewahi kuisema hii, so seems inafanya kazi.
  4. Plaintiff

    Kwa Shilingi 400/= unaweza kupika maharage mpaka yakaiva ukiwa na jiko la umeme(Induction cooker)

    maharage nimetoa mfano tu, kwenye chupa ya chai unaweza kupika ugali au wali?
  5. Plaintiff

    Kwa Shilingi 400/= unaweza kupika maharage mpaka yakaiva ukiwa na jiko la umeme(Induction cooker)

    Hili jiko bwana linataka shule, ukinunua mfano lile la 3500W, ukapika kwa hizo watt zote 3500 basi umeme wa 10,000/= utalast masaa 8 tu. Lakini kuna siri moja. Na hii nimepractice mimi mwenyewe nyumbani. Unapotumia jiko hili set moto mdogo kuliko yote hasa kama unapika vitu ambavyo haviinvolve...
Back
Top Bottom