Recent content by Picnic

  1. P

    Matokeo ya kidato cha nne yamegoma kutoka?

    Tuanomba media zitusiadie kupaza sauti hawa watu watoe matokeo au tamko la siku ambayo watayatangaza,. Vijana wetu wanaugulia sonona na msongo wa mawazo kila siku wanasubiri. Kama Msonde aliweza huyu anaekaimu kashindwa nini au ni mbinu za kutaka kumhujumu asipewe kijiti?
Back
Top Bottom