Kazi ya Museveni, kauli ya Mkapa kuhusu Chato
Jumanne, Mei 09, 2023
Rais wa awamu ya tao, Hayati John Magufuli (kushoto) akisalimiana na e Rais wa Uganda Yoweri Museveni mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Chato mkoani Geita.
Waandishi katika sura hii wanajadili kwa ufupi jinsi...
Nimekuja kuamini pesa sio kila kitu kabisa kwenye haya maisha jamani nahisi kukata tamaa ya kuishi althrough i have money japo si nyingi ila inaniwezesha kupata chochote kile gari, nyumba nzuri na vitu vyote ambavyo mwanadamu ana wish kuvipata lakini roho ya kukata tamaa ya kuishi inaninyemelea...
Japo na yeye alikosea sana ila kwa haya yanayoendelea kusema za ukwelli magufuli alikuwa mzalendo kweli kweli bila kupindisha yule bwana alinyooka vibaya mno na alikuwa Rais mzalendo na bora kuwahi kutokea kwenye Taifa hili
Huko uliko nisamehee kwa kukusema kwa ubaya! Nisamehe sana mzee wangu...
"Baada ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) kutoa tamko imeonekana Uislamu ni dini ambayo haiangalii maisha ya wanawake, haiwajali wanawake lakini ukweli ni kuwa Uislamu umemthamini sana mwanamke.
"Katika Uislamu mwanamke akiolewa anatakiwa kustarehe tu, hatakiwi kufanya kazi yoyoye na...
Kwanini masudi kipanya anamaanisha hivi? Kwahiyo anamaanisha sie chadema tumemezwa na ccm? Kwahiyo chadema tumekuwa CCM B! Ama hakika chadema na mbowe wametuingiza kwenye mkenge!
Jana alitudhalilisha na leo tena daah?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.