Recent content by Phillemon Mikael

  1. P

    PostGE2025 Rais Samia: Tumeambiwa vijana walioingia barabarani kudai haki walilipwa fedha kwanza

    GEN Z SASA DAWA NI KUWAWEKA WAJUMBE WA HII TUME NA NDUGU ZAO KWENYE LIST ILI WATU WAONGEE NAO
  2. P

    PostGE2025 Rais Samia: Tumeambiwa vijana walioingia barabarani kudai haki walilipwa fedha kwanza

    Dawa Gen Z Sasa Dawa ni kuwaingiza wajumbe wa hii tume na ndugu zao kwenye list Yao …watu waseme nao
  3. P

    Sikuona sababu ya kumtenga mke mkubwa wa Ndugai msibani

    Sasa kabila linaingiaje hapo ..hata Jaqueline alikuwa mchagga kwani ….
  4. P

    Sikuona sababu ya kumtenga mke mkubwa wa Ndugai msibani

    Wanaume wengi wakipata pesa na umaarufu wanawaacha wake zao walioanza nao maisha
  5. P

    Bashungwa anajisikiaje Kumuona LISSU anajitetea mwenyewe , wakati alisema Hamna Mfungwa wa tofauti na wengine?

    Mtu ANAYEPATA CHEO KWA KUTEMBEA NA BIBI VIZEE ANAWEZA VIPI KUWA NA AKILI ?? YEYE NI CLOWN TU ..KAMA SANAMU .
  6. P

    PreGE2025 Tazama Luhaga Mpina akiondoka Uwanjani, Meatu baada ya mkutano wa Rais Samia

    Rais gani hana koremeo anajisbishana kila kitu ?
  7. P

    PreGE2025 Tazama Luhaga Mpina akiondoka Uwanjani, Meatu baada ya mkutano wa Rais Samia

    Kaonewa ..lakini kaibuka shujaaa…tuambieni juu ya maiti zilizotolewa kafara huko
  8. P

    Karibu Mahakama ya Tanzania George M. Masaju. Una kazi kubwa sana ya kufanya, Turudishie Mahakama chini ya Ibara 107A ya Katiba

    Yeye ndio alikuwa mshauri wake wa sheria ikulu …miaka hii minne sheria na katiba zimevunjwa sana …anaweza kuwa pengine ni mpole na rahisi kuwa twisted kwa sababu ana ule utii wa kidola dola …hasa kwakua hata kabla ya kuwa jaji alikuwa kwenye dawati la sheria IKULU
  9. P

    Ni msiba! Mahakama imetekwa rasmi na Dola

    Ni ndoto, kama baada ya kustaafu mahakama ya rufaa alimchukua akawa mshauri wake na ameshindwa kumsaidia kufuata sheria …ataenda kufanya nini pale ?? Ina maana kwenye majaji wote active kwenye bench la mahakama ya rufaa hakuna hata mmoja ametosha kuchukua nafasi ya anayemaliza muda wake ?? Mbona...
  10. P

    Majaji Wakuu Wastaafu wa Kenya kuja Tanzania kwenye Kesi ya Lissu, Prof Juma aelewe kwanini Majaji wenzake walikataa aiongoze Mahakama

    Ni ndoto, kama baada ya kustaafu mahakama ya rufaa alimchukua akawa mshauri wake na ameshindwa kumsaidia kufuata sheria …ataenda kufanya nini pale ?? Ina maana kwenye majaji wote active kwenye bench la mahakama ya rufaa hakuna hata mmoja ametosha kuchukua nafasi ya anayemaliza muda wake ?? Mbona...
  11. P

    Karibu Mahakama ya Tanzania George M. Masaju. Una kazi kubwa sana ya kufanya, Turudishie Mahakama chini ya Ibara 107A ya Katiba

    Ni ndoto, kama baada ya kustaafu mahakama ya rufaa alimchukua akawa mshauri wake na ameshindwa kumsaidia kufuata sheria …ataenda kufanya nini pale ?? Ina maana kwenye majaji wote active kwenye bench la mahakama ya rufaa hakuna hata mmoja ametosha kuchukua nafasi ya anayemaliza muda wake ...
  12. P

    Baba Mzazi wa Daktari aliyepotea na Mwili kupatikana Coco Beach asema wamejulishwa mwili umeshazikwa

    Siku hizi police wamewekewa mortuary yao pale kilwa rd …hivi miili yote ambayo ina vifo vya utata ambayo ikienda mortuary za kiraha madakrari watahoji sababbu za vifo …huwa wanapeleka Kilwa na kama vipi wanazika kabisa kwa kigezo walitangaza ndugu hawakutokea
  13. P

    Yupo wapi Askofu Gwajima? Mamlaka za kidunia hazifahamu pamoja na kuzingira kanisa

    GWAJIMA Kama ana akili anatakiwa aondoke kabisa nchini kwa kutumia mipaka ya njia za panya ……aende zake Ulaya .
Back
Top Bottom