Yeye ndio alikuwa mshauri wake wa sheria ikulu …miaka hii minne sheria na katiba zimevunjwa sana …anaweza kuwa pengine ni mpole na rahisi kuwa twisted kwa sababu ana ule utii wa kidola dola …hasa kwakua hata kabla ya kuwa jaji alikuwa kwenye dawati la sheria IKULU
Ni ndoto, kama baada ya kustaafu mahakama ya rufaa alimchukua akawa mshauri wake na ameshindwa kumsaidia kufuata sheria …ataenda kufanya nini pale ?? Ina maana kwenye majaji wote active kwenye bench la mahakama ya rufaa hakuna hata mmoja ametosha kuchukua nafasi ya anayemaliza muda wake ?? Mbona...
Ni ndoto, kama baada ya kustaafu mahakama ya rufaa alimchukua akawa mshauri wake na ameshindwa kumsaidia kufuata sheria …ataenda kufanya nini pale ?? Ina maana kwenye majaji wote active kwenye bench la mahakama ya rufaa hakuna hata mmoja ametosha kuchukua nafasi ya anayemaliza muda wake ?? Mbona...
Ni ndoto, kama baada ya kustaafu mahakama ya rufaa alimchukua akawa mshauri wake na ameshindwa kumsaidia kufuata sheria …ataenda kufanya nini pale ?? Ina maana kwenye majaji wote active kwenye bench la mahakama ya rufaa hakuna hata mmoja ametosha kuchukua nafasi ya anayemaliza muda wake ...
Siku hizi police wamewekewa mortuary yao pale kilwa rd …hivi miili yote ambayo ina vifo vya utata ambayo ikienda mortuary za kiraha madakrari watahoji sababbu za vifo …huwa wanapeleka Kilwa na kama vipi wanazika kabisa kwa kigezo walitangaza ndugu hawakutokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.