Recent content by petr15

  1. P

    GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    Rais asema na wananchi wake leo ,Alhamisi njema ya kazi na wananchi Mbalizi mkoani Mbeya kabla ya kuelekea Mbeya Mjini, nikiendelea na safari yangu katika mikoa mbalimbali ya nchi yetu. Safari ya kuzungumza na wananchi kuhusu yale tuliyotekeleza katika kuwatumikia, na yale tuliyopanga...
  2. P

    GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    Kasumulu Mbeya Hiki ni Kituo cha Pamoja cha Forodha katika mpaka wa Tanzania na Malawi. Ujenzi wake ni utekelezaji wa Sera ya Diplomasia ya Uchumi ambapo kitakuza mwingiliano wa watu na biashara kati ya nchi zetu mbili kudumisha Ushirikiano. #Kurayakwanzakwasamia#haijapatakutokea
  3. P

    MBEYA WAKO NA DKT SAMIA SULUHU HASSAN

    Kasumulu Mbeya Hiki ni Kituo cha Pamoja cha Forodha katika mpaka wa Tanzania na Malawi. Ujenzi wake ni utekelezaji wa Sera ya Diplomasia ya Uchumi ambapo kitakuza mwingiliano wa watu na biashara kati ya nchi zetu mbili kudumisha Ushirikiano. #Kurayakwanzakwasamia#haijapatakutokea
  4. P

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    MAPATO YA KODI YA SERIKALI (2020-2021,2023-2025) KILIMO (25–30%) Kutoka takribani Sh 2.8 trilioni (2020/21) hadi Sh 6.4 trilioni (2024/25) Limechangiwa na ongezeko la uzalishaji, masoko ya nje, na kuongeza thamani (processing) VIWANDA & UZALISHAJI (20–22%) Viwanda vya saruji...
  5. P

    GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    SONGWE LEO NI SHANGWE TU NA MGOMBEA WA URAIS WA CCM DKT SAMIA . ameifungua Songwe katika Sekta mbalimbali kwanza kabisa
  6. P

    GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    Afya bora imeletwa karibu na wananchi wote. #haijapatakutokea #kurayakwanzakwaSamiaSamia ni sauti ya wanyonge, anawajali wananchi wake. #haijapatakutokea #kurayakwanzakwaSamia
  7. P

    GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    Uchumi wetu unapaa kwa kasi chini ya Samia. #haijapatakutokea #kurayakwanzakwaSamiaSamia ni sauti ya wanyonge, anawajali wananchi wake. #haijapatakutokea #kurayakwanzakwaSamiaUwekezaji mkubwa unaingia nchini kwetu, ahsante Mama. #haijapatakutokea #kurayakwanzakwaSamia
  8. P

    Maabara za kisasa ambazo zinatumika katika Shule ya Sekondari ya Philipo Mulugo

    Maabara za kisasa ambazo zinatumika katika Shule ya Sekondari ya Philipo Mulugo iliyojengwa kupitia mradi wa SEQUIP katika Kata ya Udinde Halmashauri ya Wilaya ya Songwe. #KurayakwanzakwaSamia #Haijapatakutokea
  9. P

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Mazuri mueleze piaa sio kejeli2
  10. P

    Miaka Minne Ya Mama Nyumba 159 za walimu wa shule za msingi zimejengwa.

    Miaka Minne Ya Mama Nyumba 159 za walimu wa shule za msingi zimejengwa katika Mkoa wa Songwe. Ujenzi wa nyumba hizo umewezesha walimu kukaa karibu na shuleni hivyo kutumia muda mwingi kufundisha wanafunzi. #kurayakwanzakwasamia #haijapatakutokea
  11. P

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Moja ya uwekezaji mkubwa uliofanywa na Rais Samia Suluhu ni ujenzi wa shule ya sekondari ya wasichana ya Mkoa wa Songwe ya Dr. Samia Suluhu Hassan. Jengo linaloonekana ni jengo la madarasa ya kisasa kabisa.
  12. P

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan (2020–2024) katika Kuimarisha Miundombinu ya Elimu ✅️Shule za msingi: 16,656 → 19,783. ✅️Shule za sekondari: 5,001 → 5,926. ✅️Madarasa ya msingi: 128,425 → 155,330. ✅️Madarasa ya sekondari: 46,928 → 81,052...
  13. P

    Polepole sio mtu mwema ni muhuni sana

    Uharifu wake upowanzi kwa sas anachokifanya leo analetaa uhuni kama alivyo kuwa na lugha za kidikteta kwenye awamu ya 5, Taifa letu kwa sasa hatuko tayari na kwa uhuni anaoufanyaa ima achache imaa aendelee kuwaa chawa na watu alionao kwenye paaziaahaijapatakutokea.
  14. P

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    KATIKA SEKTA YA ELIMU ,Dkt Samia Suluhu Hasan. Samia anajenga vyuo vikuu zaidi ya 10 vipya kwa mpigo mikoani, haijapata kutokea. 1. Katavi (Kilimo) kimefikia 15% 2. Kigoma (Afya) Kimefikia 10% 3. Zanzibar (Mambo ya Bahari) kimefikia 50% 4. Kagera Kimefikia 50% 5. Lindi Kimefikia 50% 6. Mwanza...
Back
Top Bottom