Recent content by petermwakyeja

  1. petermwakyeja

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kwenye betting hakuna ajuae zaidi wote tunabahatisha mfano match ya man u vs stoke yeye atampa man kisa team kubwa kumbe bwabwa tu na linapigwa ni mtazamo tu
  2. petermwakyeja

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Acha ushabiki kwenye betting kisa team lako limetolewa uefa et unataka na chelsea atoke hatukubali tumempa tu
  3. petermwakyeja

    Kikosi bora cha Eden Hazard: Messi na Ronaldo nje

    Kupinga banch c.ronaldo kwa vitendo vyake vinavyoonekana mitandaoni vya kupakatwa
  4. petermwakyeja

    Ballon d'Or 2015 ni Messi,Neymar au Cristiano?

    Mimi ni mshabiki hazard tu lkn angalizo messi mwaka wake huu wa kuweka record asipo chukua ntalia sana
  5. petermwakyeja

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wewe mbavu hela iko wapi mkeka umekufa huo
  6. petermwakyeja

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Spurs amfunge chelsea leo mmmmmh hata kama chelsea mbovu
  7. petermwakyeja

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Jaman tuangalie sana madrd maana point zake hazishuki wala kupanda
  8. petermwakyeja

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Plymouth, swansea 2_4 lestercity A2+,psg win hull city win hapo vipi wataam
  9. petermwakyeja

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nina hofu na man u na spurs tu week end hii
  10. petermwakyeja

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Meridian iko fresh leo mimi nataka nife hivi ushauri bala town,livono wigan,oxford,egypt,barsley,sweeden,na mali
Back
Top Bottom