Tangu utotoni kumekuwa na mbinu ama michezo ambayo imetusaidia katika kutukuza kiakili hata ki fikra, uwe umekulia mjini hata kama vijijini kuna ule mchezo wa kufichama na mmoja ana tutafuta ule mchezo lengo lake ni kutukuza kiakili mtu mmoja inabidi uzisome akili za wengi ili uweze kushinda...
STORY OF CHANGE
Katika maada yangu ya mabadiliko mimi napenda kuzungumzia suala zima la iman,kuwa na imani na viongozi tuliowachagua/ wanao tuongoza ni jambo lingine lakini suala zima la iman nalielekezea katika dini, Mungu ndie kiongozi wetu mkuu na ni mfalme wa aman tukimuamini yeye yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.