Niseme kama hili swala Rais hahusiki,na ana nia kweli ya kuchunguza,basi polisi wangeanzia kwenye makampuni ya simu,maana mda mwingi nasikia watekaji walikuwa wakiwasiliana na marehemu
Hii ishu haina tofauti na ile ya mtoto alibino
K
Kabla ya kueleza matokea ilibidi ueleze chanzo,unajua jamii forum ni zaidi ya shule,hatutakiwi na sisi tuwe sehemu ya kuopotosha jamii,huku tunajua ukweli
Hivi Idd Amini alikuwa mjinga mpaka aanze kuivamia Tanzania bila sababu? nimeleza kwa kina sana,ile Vita ilikuwa ya kumrudisha rafiki yake Miltoni Obote madarakani alijua labda itakuwa kama ya Israel na Hamasi labda ndani ya mwezi itakuwa imeisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.