Mimi mwenyewe kuna muamala nilifanya wa tsh700,000/= pesa ikakwama wakasema watanirudishia kwenye account yangu ya mpesa ndani ya masaa 72 lakini muda ulipofika hawakurudisha walinizungusha na ile hela karibu wiki mbili nikatuma email BOT na TCRA za malalamiko kuona kama ntapata msaada wakaja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.