Naomba nikujibu kitu kimoja umekieleza hapo" kwamba mtu aliye feli 4m4 asipewe Urais" nisawa upo sahihi kabisa lakini kipimo pekee cha mtu kuwa kiongozi si tu kusoma level fulani lahasha kwangu najua kipimo kikubwa sana katika maisha ya mtu mwenye nia ya kuwa kiongozi nikama ifuatavyo ; Awe...
Sawa kabisa lakini naomba nikuulize swali
Tunaposema SIASA SAFI katika Taifa 🇹🇿 na Afrika kwa ujumla je, Ni kivipi Siasa safi itumike ili kuleta maendeleo, amani, usawa, utulivu na uzalendo baina ya mtu na mtu katika Taifa 🇹🇿 na Afrika kwa ujumla?
SIASA SAFI ndio mhimili mkuu katika Taifa kwa sababu siasa safi hujenga umoja, mshikamano, amani, usawa utulivu na uzalendo baina ya mtu na katika Taifa.
Taifa lisilokuwa na siasa safi ni taifa mfu ,,,,,, niwaombe ndugu zangu watanzania Tusimame imara katika kuhakikisha tunawatumikia watanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.