Mim nadhan ndugu malecela amepotoka,swala la serkal tatu l¨¬likua ni agenda maalum ya upinzan cuf na chadema hili lilikua kwenye hata manifesto zao za uchaguz kwahiyo nataka nikurekebishe tu kuwa upinzan haupiganii serkal tatu heti sababu ccm wataka serkal mb¨¬l
Sasa utake ustake muungano upo palepale ni lazma tuwasaidie msije mkageuza bara kambi ya wakimbiz .Hakuna uhusiano wa yanayotokea tarme na kuvunjika kwa muungano makiri2 n¨¬ kikundi kidogo cha wahar¨¬fu wenye imani za kishirikina ambao wao hufanya maovu hata kwa ndugu zao wala hawana...
Hapa sio swala la kubishana nan ni nan barubaru ila tunaongelea uhal¨¬sia zanzibar ya sasa inawekwa na muungano vinginevyo nje ya muungano zbar itakua somalia mpya ,ubaguzi mnaendesha zid ya wenyewe kwa wenyewe n¨¬ kiashiria tosha kuwa muungano ukifa tu pemba watataka nchi yao unguja nao...
wanaotaka muungano uvunjwe waangalie ni upande upi utaathirika,leo wanzibari wanajifanya wamoja heti wanataka nchi yao,unajua unafiki sio mzur sana mim sidhan kama wazenji ni wamoja hembu wakumbukeni wale wazee wa pemba waloenda UN heti kudai nchi yao mbaya zaidi nchi hiyo sio zanzibar ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.