Recent content by Patrick Emmanuel

  1. P

    TCU CAS imesha funguka sasa

    transfer zisha zingua.. sasa tugeukie upande wapili (mikopo)
  2. P

    TCU CAS imesha funguka sasa

    dah mkuu, nlikua nazisubiri transfer kwa hamu yani ndo ilikua last hope alafu mambo ndokama haya
  3. P

    TCU CAS imesha funguka sasa

    ndoto za udaktari zileeeeeeeee zina yoyoma
  4. P

    TCU raundi ya 5

    Jamani wana JF salamaa! Mimi nauliza wale wa fifth round vipi! Maana siku zinazidi kwenda tu na majina ya mkopo ndo yashaanza kuachiliwa, sasa hawa ndugu zetu wa raundi ya tano vipi? Mwenye idea yanatoka lini atujuze!
Back
Top Bottom