Recent content by patrick 119

  1. patrick 119

    JamiiForums Tanzania Profesa Kabudi: Kikwete na Mkapa haifai kuwataja kwenye kashfa sababu tunatunza heshima yao

    Kuna sababu gani za kuchunguza mambo yaliyofanyika wakiwa kwenye madaraka? Wasituambie habari za makanikia wala almas na hyu nae akimalza muda wake asilaumiwe shame on u maccm ukweli mchungu
  2. patrick 119

    JamiiForums Tanzania PENDEKEZO: Profesa Mruma avuliwe Uprofesa, akamatwe na kufungwa jela

    Nilifikiri umekuja na majib ya swali langu lililo mshinda mwenzio kujibu. Rudi kwanza Lumumba uwaulize wenzio mruma alikuwa nani ndo uje hapa. Sawa dogo ukweli mchungu
  3. patrick 119

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli kupokea taarifa ya uchunguzi wa madini ya Tanzanite na Almasi kesho Ikulu Dar es Salaam

    Tena siasa si mnasemaga tuache siasa tufanye kazi [emoji2] ukweli mchungu
  4. patrick 119

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli kupokea taarifa ya uchunguzi wa madini ya Tanzanite na Almasi kesho Ikulu Dar es Salaam

    Hawa jamaa uchafu wao umeonekana kwenye report zipi tangu rais jembe aingie madarakani? ukweli mchungu
  5. patrick 119

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Bunge likiamua kufanya kazi kwa mujibu wa Katiba ya nchi yetu linayo nafasi kubwa ya kuisaidia Serikali

    Eti nalo linajiita liko uzunguni ukweli mchungu
  6. patrick 119

    JamiiForums Tanzania Ripoti mbili za kamati teule za bunge leo zimetoa funzo moja kubwa kwa Watanzania, kwamba CCM haipaswi kuwa madarakani

    ndo maana ukaitwa bang'omboli yule aliyekuwa kipofu pale musoma. Umeshindwa hata kujua chochote kuhusu hyo ripoti[emoji2] ukweli mchungu
  7. patrick 119

    JamiiForums Tanzania PENDEKEZO: Profesa Mruma avuliwe Uprofesa, akamatwe na kufungwa jela

    Sasa tuambie kabla hapo mruma alikuwa nani kama hakuhusika kutuingiza mkenge kwenye almas. Ndo mana nyoka la makengeza lilisema mruma kamdanga Mkulu kumbe nyoka wa makengeza alikuwa anajua siri ukweli mchungu
  8. patrick 119

    JamiiForums Tanzania Profesa Kabudi: Kikwete na Mkapa haifai kuwataja kwenye kashfa sababu tunatunza heshima yao

    Una maanisha itakuwa kama Mv magogoni? ukweli mchungu
  9. patrick 119

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Bunge likiamua kufanya kazi kwa mujibu wa Katiba ya nchi yetu linayo nafasi kubwa ya kuisaidia Serikali

    Hii ripoti haijawafurahisha lumumba Team kwa sababu imemtaja boss flani kupewa kipande cha almas na mzee wa nakanikia ambaye ripoti yake ilipingwa na TL mzee mruma kuonekana nayeye alipiga kwenye almas imewachanganya sana wana L umumba ukweli mchungu
  10. patrick 119

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Bunge likiamua kufanya kazi kwa mujibu wa Katiba ya nchi yetu linayo nafasi kubwa ya kuisaidia Serikali

    Baadaye useme mbowe siyo mzalendo haungi mkono juhudi za serikali? ukweli mchungu
  11. patrick 119

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Bunge likiamua kufanya kazi kwa mujibu wa Katiba ya nchi yetu linayo nafasi kubwa ya kuisaidia Serikali

    Dah kuzoa mavi ya wazee wa kizungu nishida sana. Hujui kazi zabunge kwenye hii katiba yetu yenye napungufu mengi. Mbowe wapi mbowe alisha sema haitambui Katina? ukweli mchungu
  12. patrick 119

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi kuhusu ripoti mbili za Bunge kuhusu Madini ya Tanzanite na Almasi

    Muongo naye akichunguza ule mkataba wa uuzwaji wa nyumba,ununuzi wa ndege naye atapata wake tunaye nwona kama masih wetu ukweli mchungu
  13. patrick 119

    JamiiForums Tanzania Swali la Mama Salima Bungeni: Lini serikali itapiga marufuku uingizwaji wa headphone?

    Nimekuelewa vyema ukweli mchungu
  14. patrick 119

    JamiiForums Tanzania Swali la Mama Salima Bungeni: Lini serikali itapiga marufuku uingizwaji wa headphone?

    Hawezi ukweli mchungu
  15. patrick 119

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya makinikia ya Almasi na biashara ya Tanzanite yawasilishwa. Prof. Mruma, Maswi na Muhongo washutumiwa

    Tundu liisu akimwambia magufuli profesa. Mruma amekudanganya. Nzi wa kijani woteeee waliruka kutoka kwenye kinyesi na kumshambulia lisu aliye waambia kinyesi mnacho kula kimemwagiwa sumu akasakamwa alafu leo wanasema mruma kuna sehemu alihusika kuweka sumu Kwenye....... Malizia bwana naona...
Back
Top Bottom