Tena naona unajiita PHD?Kama ACT inakuja kwa Kasi tatizo linakuwa wapi mbona vijana wa UVCCm mna Kama laana ivi yaani ata ushawishi kwa watu wa kawaida hamuwezi Sasa kwa taarifa ccm imekufa ili ujue imekufa nyie Uvccm daini Katiba mpya mkiweza kudai ntajua kweli cdm imekufa
Wewe husiongee Kama umekatwa kichwa ndg yangu ok hajafanya Ivo alishindwa Nini kukamata wauaji?Nani alitoa CCTV camera ?wewe jamaa acha kuliongelea ilo jamaa linaweza fufuka kilikuwa katiri la kutisha
Huyu fisi ndo alitaka kumuua mh lisu Wala ilo sio mjadala jamaa kilikuwa katiri sana.ila mwenyezi mungu nadhani alituletea ili liuaji akiwa na maana yake
Wewe unayesema ndege unajua Bei zake Kama mlipa Kodi?he unajua zinaingiza hasara kiasi gani nchini?na he unajua bajeti iliyotumika kujenga chato?mbona inakuwa Kama umekatwa kichwa Kama vipi nenda ufe nae huyo mbikimo wenu
Uenda waliulizwa 1.5t wakakosa jibu lake alafu unalalama na watu wa wizara kuondolewa kwani wa jk aliwaacha huyo dictator wenu au hamjui huyu ni Raisi mwingine?
Pumbavu mlitumia fedha zenu?kwenye uchaguzi upi?alafu huyo jamaa yenu baada ya kutufirisi na kutuua na yeye shetani akamuita sidhani Kama ata kwa mungu alipaona unakataa hakukopa?mazee ilo jitu limekopa kwenye mabank yote duniani lakini kwa uongo wake anasema pesa ya ndani.ndani ya nyoko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.