Stories of change.
Maoni yangu kuhusu Tanzania tuitakayo, napenda kuyaelekeza kwa kiasi kikubwa katika Wizara ya Elimu, maendeleo ya Sayansi na teknolojia. Katika kuiboresha Wizara hii naishauri sana Serikali isielekeze nguvu zake zote kwenye Shule za Sekondari, Vyuo vya Kati na hata Vyuo Vikuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.