😄😄Mimi kitu ambacho hakiniathiri Wala simuathiri mwenzangu huwa hakinipi shida kabisa. na nafahamu mkuu kuna uhusiano kati ya umaskini na hasira huwa napuuza tu
Mkuu unaelewa lakini hapo Anness nimetoka mwezi wa 3 na nimekaguliwa ndugu wewe hizi habari zako yawezekana umegoogle umelishwa tango pori na naona unachobishana ni kilekile ninachozungumza mimi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.