kabisa, hivi husaidia kwa kiwango chake. Je haudhani kuwa ingefaa kukawapo vipindi zaidi? mf Kipindi kuhusu Sheria na Maendeleo? afya na Maendeleo n.k? najaribu kuwaza kwa maandishi....Hivyo ulivyotaja vinatosheleza na vime cover nyanja zote?
Ni ukweli wa kiwango cha juu kuwa Vipindi vya TV na Radio Stations zinazo toa elimu ya uchumi, sheria, ujasiriamali, biashara, afya n.k zinachangia kwa kiasi kikubwa kubadilisha mitazamo katika jamii na pia kuchangia biashara mpya tofauti kuanzishwa. Vipindi hivi vikitumiwa vizuri inaaminika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.