Pole Mimi nilipata tatizo hilo mwaka Jana, pre eclampsia dalili za awali za kifafa cha mimba, wakaniambia hamna jinsi Ni kumtoa mtoto tu. Yani pb alikuwa juu, epigastric pain, na Protein ikawa juu. Pia nlikuwa nimevimba sana.
Magroup yote ya dam Ni mazuri sema tu kuna hawa watu wenye rhesus factor negative au -ve huwa Ni wachache hivo ikitokea MTU kaishiwa damu wa group hilo huwa inasumbua kidogo hasa group AB -ve.
Basi tuchukulie wewe ndo ulifanyiwa kama unabisha, ama unaropoka tu, Mimi ndo nashida hiyo na nimeomba msaada wewe unaniita nadanganya mbona huna ustarabu.
Gynaecologist ndo wa nakwambia had I ufanyiwe upasuaji , nami nataka kutibu bila upasuaji. Naonaga pia mwaka huwa anatangaza sana je huwa anayatibu kweli
Athari nazopata Mimi, Ni kuharibika mimba, kuzaa watoto njiti, kupata irregular menses, maumivu ya tumbo chini ya kizazi, low libido, ndo naona matatizo makubwa hayo
Asante definition, nimeelewa je? Yanaweza kupona kwa DAWA ama ni lazima yatolewe kwa operation? Nataka nijue kama kuna DAWA unaweza tumia na yakasinyaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.