Kuna binadamu ni wakatili sana! Yani unakula milion3 ya kijana ambae ana hustle kitaa kwa uchungu ili apate walau kazi na aweze endesha maisha hii si ni laana kabisa jamani! Bora hata angemrudishia nusu ya iyo pesa aisee
Duuh kweli pesa sabuni ya roho na umaskini ni mbaya ….umenikumbusha mwaka juzi wakat nipo kweny usaili wa polisi Dodoma siku moja kabla hatujaenda kwa mkuu wa mkoa, mida ya saa4 usiku kuna binti alinitafuta akaniambia kuna nafas moja ya form6 inauzwa million2 na uyo mtu anatakiwa apatikane kabla...
Yeah nafasi yangu naona iliuzwa jamaa alikubali kunisaidia ila dakika za mwisho naona alichagua pesa kuliko utu, ungekuta nimemaliza kozi ccp mwaka jana mwezi wa11.
Yes kwa wakat ule nilibahatika kupata mtu akanishika mkono …..kwa jinsi watu walivyochafuka vyeo mabegani pale dodoma bila kua na mbuyu nisingethubutu kufika kwa mkuu wa mkoa maana nakumbuka baada ya vipimo vya afya na mabio lilipigwa panga moja takatifu vijana walilaani sana wengine waliondoka...
Hahah kama mbanga wako ni brigedia general, major general, luten general au waziri wa ulinzi basi kozi ni uhakika bila kweree wenzako utawakuta usatani 😅
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.