Ndipo niliposema unatakiwa uwe na afya bora ya akili [emoji15][emoji15]
masuala ya kuabudu mizimu sijui mkoloni kuja na dini yanahusiana na lolote katika maswali hayo 4?
Halafu mbona unajichanganya sana hueleweki unacho sema. wale wanao abudu mizimu halafu kabala ya kuenezwa kwa dini kwani hao...
njia rahisi nikujiuliza tu ila unapojiuliza lazima uwe na akili timamu
yapo maswali kama 4 hivi na zaidi
1. Mimi ni nini ?
2 na kabla ya kuwepo hapa nilipo nilikua wapi?
3, hapa nilipo ni kwa hiyari yangu na kupenda kwangu au ni nguvu fulani ilionisukumia hapa.
4, nikitoka hapa nilipo nitakwenda...
kuyaelewa haya inahitaji afya nzuri ya akili kuzitafuta fact
kwanza elewa binaadmu ni muunganiko wa vitu viwili Roho na mwili
soul + body = humanbeing
pia mahitaji na maisha ya binaadamu lazima yawe hivyo kimwili na kiroho ndio maana HAKUNA KUFA BALI KUNAKUHAMA THE DEPARTURE OF THE SOUL FROM BODY
mama Debora uko sawa hao wengine wanao kulaumu ni wachawi au wana afya mbaya ya akili wanatumia udhaifu wa akili zao kutafsiri vibaya bandiko lako wapuuze wala wasikutie homa hiyo ndio fact wakipenda wasipende wajibu kwa hoja sio vitisho havisaidii na ni uchache wa elimu
Kilanga hizo sifa za Mungu ni za kweli kabisa na hakuna kufa bali kilichopo ni kuhama ulimwengu wa kimwili kurudi ulimwengu wa kiroho kama ilivyo kua awali kabla hujaja. Hiyo safari ya kuhama ina maajabu yake Wakati anapo hama mmoja wetu kutoka ulimwengu wa kiroho kuja ulimwengu wa kimwili walio...
sahihi kabisa na ukweli wake tizama idadi ya waajirwa serikalini na mshirika ya umma tizama idadi ya mawaziri makatibu wakuu manaibu katibu wakurugenzi n.k huyo dada katiza upande mmoja wa social na wealth. Hakutazama kwenye mamlaka huko ndiko walikojikita wakristo na msingi huu aliujenga...
hapa hakuna kugawa kidini wewe tu jicho lako la mchungwa usimtishe Debora na usilete fitna ktk uzi wa Debora kama wewe ni mfatiliaji wa mambo Utakumbuka Mwl. Julius kambarage Nyerere katika historia yake ya kutafuta Uhuru wanchi hii alitamka wazi kabisa kua 'NILIKUA MIMI PEKEYANGU MKRISTO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.