Recent content by Pakurumo

  1. P

    JamiiForums Tanzania Sheikh Khalifa ammwagia data zaidi Rais Magufuli za wasomi waislamu

    Katika Dunia ya leo ni wapumbavu pekee wanaohoji teuzi kwa kigezo cha dini wapumbavu hawa walikuwepo toka kipindi cha kikwete nashangaa wanaendelea kuwapo hawafanyi tafiti wanachojua ni kupandikiza chuki kati ya serikali iliyopo madarakani na kikundi flani cha wapumbavu kama wao. Dini haiwezi...
  2. P

    JamiiForums Tanzania Dalali wa Nyumba Tanga mjini

    Natafuta nyumba ya haraka Tanga mjini iwe ya vyumba viwili au vitatu master, nmehamishiwa kikazi huko kama kuna dalali mzoefu kwa humu naomba anitafute kwa direct text humu au atume mawasiliano yake ntamtafuta mm..
  3. P

    JamiiForums Tanzania Waziri Angellah Kairuki na Katibu Mkuu wamewafukuza kazi waajiriwa wapya 3000 walioajiriwa Juni 2016

    Mtoa mada ana uhakika na analosema lkn chanzo cha habari yake ni kipi, tayari serikali imetoa waraka wa namna waliosimamishwa kupisha uhakiki watarudishwa na mwezi ujao wote watarudi maofisini kama zamani sasa sijui hii ya kufukuza ameitoa wap na tamko limetolewa na nano
Back
Top Bottom