January Makamba anaongelea ilani pendekezwa ya chama cha mapinduzi sijaona swala lake binafsi au kwavile yeye ndie Katibu wa kamati ya maandalizi ya Ilani pendekezwa ya ccm 2015 . Nilitegemea ataongea plan yake aliyo nayo bali anaongelea mawazo ya wenzake anaoshilikiana nao kuandaa ilani ya...
MBEYA WASEMA TWENDE NA MWIGULU URAIS 2015,ASKOFU MPANJI ASISITIZA MWIGULU ANAKWENDA KUWA RAIS WA NCHI HII.
"Watu wa Mungu si Mnamkumbuka DAUDI alivyomfanya Goliati?Basi wao na Fedha zao,Wao na Uzee wao,Mwigulu na Mungu tu."
Na Brandy Nelson
Mwananchi.
Nchemba apewa upako wa urais...
BREAKING NEWS KUHUSU URAIS 2015, Urais ndani ya CCM ni Mwigulu Nchemba. (siri za vuja.)
Lile fumbo la nani atakuwa mgombea wa Urais kupitia CCM imeteguliwa baada ya SIRI kuvuja kuwa anayeandaliwa ni Mwigulu Nchemba. Taarifa za ndani tulizozipata toka kwa mjumbe mzito kwenye mfumo zinasema kuwa...
Copy and paste kutoka fb kwa Mwigulu
AWAMU YA TANO NI AWAMU YA KAZI. "KAZI MOJA TU KULIPELEKA TAIFA KUWA NCHI YA KIPATO CHA KATI"
Kufikia hatua hii lazima mambo haya yazingatiwe
1) Lazima nchi ijitagemee kibajeti, nchi haiwezi kuwa Taifa la kipato cha kati kwa kutegemea wahisani.
2) Lazima...
BADA YA WENYEVITI MIKOA WA CCM KUPAZA SAUTI YAO,KWENYE MAGROUP YA WASSAP HALI IMEKUWA HIVI "SAKATA LA MWIGULU KUZUIWA ZIARA"
Siku chache baada ya wenyeviti wa mikoa kupinga vikali katazo la Katibu Mkuu kuwa Naibu wake bwana Mwigulu Nchemba asitishe ziara zake.
Fukuto limeendelea chini kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.