Recent content by Pakaroad

  1. P

    Mwigulu Arudisha Fomu Ya Kuomba Ridhaa na Kutoa Neno Lenye Busara Kubwa

    Mwigulu jimboni kwake ilamba ni KING, amelitendea Haki jimbo kuanzia miradi ya maji, barabara, huduma za afya na elimu
  2. P

    Mwigulu Arudisha Fomu Ya Kuomba Ridhaa na Kutoa Neno Lenye Busara Kubwa

    toa ushahidi kama huna NYAMAZA MILELE
  3. P

    Mwigulu Arudisha Fomu Ya Kuomba Ridhaa na Kutoa Neno Lenye Busara Kubwa

    Mwigulu ndiye Rais, Ikulu si mwaisela mkuu
  4. P

    Mwigulu Arudisha Fomu Ya Kuomba Ridhaa na Kutoa Neno Lenye Busara Kubwa

    Tupe kumbukumbu la jarada Lake la hayo mashitaka, kama huna UNYAMAZE MILELE
  5. P

    Mwigulu Arudisha Fomu Ya Kuomba Ridhaa na Kutoa Neno Lenye Busara Kubwa

    Kamwambie mzee wako ashike kikombe cha chai walau dakika mbili tu ndio urudi hapa
  6. P

    Kutoka Ukumbi wa Mlimani City: Mkutano wa January Makamba Kutangaza nia ya Urais

    January Makamba anaongelea ilani pendekezwa ya chama cha mapinduzi sijaona swala lake binafsi au kwavile yeye ndie Katibu wa kamati ya maandalizi ya Ilani pendekezwa ya ccm 2015 . Nilitegemea ataongea plan yake aliyo nayo bali anaongelea mawazo ya wenzake anaoshilikiana nao kuandaa ilani ya...
  7. P

    Dodoma: Mwigulu Nchemba kuisimamisha nchi kwa mara nyingine

    Akili yako inahitaji kupigwa deki, imechafuka
  8. P

    Dodoma: Mwigulu Nchemba kuisimamisha nchi kwa mara nyingine

    Mkuu pokea like 1000000000
  9. P

    Dodoma: Mwigulu Nchemba kuisimamisha nchi kwa mara nyingine

    Naam naye ni MWIGULU LAMECK NCHEMBA MADELU
  10. P

    Dodoma: Mwigulu Nchemba kuisimamisha nchi kwa mara nyingine

    Hivi kumbe bado wapo watu wana mawazo mgando kama wewe? Akili za kuambiwa changanya na zako, Mwigulu ndiye Rais wetu 2015
  11. P

    Nchemba apewa ‘upako’ wa urais

    MBEYA WASEMA TWENDE NA MWIGULU URAIS 2015,ASKOFU MPANJI ASISITIZA MWIGULU ANAKWENDA KUWA RAIS WA NCHI HII. "Watu wa Mungu si Mnamkumbuka DAUDI alivyomfanya Goliati?Basi wao na Fedha zao,Wao na Uzee wao,Mwigulu na Mungu tu." Na Brandy Nelson Mwananchi. Nchemba apewa ‘upako’ wa urais...
  12. P

    Huyu ndiye Mwigulu Nchemba

    BREAKING NEWS KUHUSU URAIS 2015, Urais ndani ya CCM ni Mwigulu Nchemba. (siri za vuja.) Lile fumbo la nani atakuwa mgombea wa Urais kupitia CCM imeteguliwa baada ya SIRI kuvuja kuwa anayeandaliwa ni Mwigulu Nchemba. Taarifa za ndani tulizozipata toka kwa mjumbe mzito kwenye mfumo zinasema kuwa...
  13. P

    Mwigulu: Mabilioni Yaliyofichwa Uswisi Kutaifishwa

    Copy and paste kutoka fb kwa Mwigulu AWAMU YA TANO NI AWAMU YA KAZI. "KAZI MOJA TU KULIPELEKA TAIFA KUWA NCHI YA KIPATO CHA KATI" Kufikia hatua hii lazima mambo haya yazingatiwe 1) Lazima nchi ijitagemee kibajeti, nchi haiwezi kuwa Taifa la kipato cha kati kwa kutegemea wahisani. 2) Lazima...
  14. P

    Barua ya Kinana, Moto wafukuta "Makatibu,Wanec na Wanachama wawili SG katika"

    BADA YA WENYEVITI MIKOA WA CCM KUPAZA SAUTI YAO,KWENYE MAGROUP YA WASSAP HALI IMEKUWA HIVI "SAKATA LA MWIGULU KUZUIWA ZIARA" Siku chache baada ya wenyeviti wa mikoa kupinga vikali katazo la Katibu Mkuu kuwa Naibu wake bwana Mwigulu Nchemba asitishe ziara zake. Fukuto limeendelea chini kwa...
Back
Top Bottom