Korona haiteui, tajiri na maskini
Dunia haichagui, iuwe iache nani
Waafrika hijui, wachina wamarekani
Korona ina hasara, na zake faida pia
Ingawa inagutusha, kwa kuuwa wengi watu
Katika haya maisha, inazo faida kwetu
Mwanzo imetufundisha, kunawa mikono yetu
Korona ina hasara, na zake faida...