Ni Mhimu sana Kuisikiliza nafsi yako. Lkn pia mawasiliano na Mungu wako ni ya msingi sana.
Haijalishi unapoabudu, lkn kama unaye Mungu umwaminiye tenga muda wa Kufunga na Kuomba juu ya jambo hilo.
Mara nyingi Nafsi inapogoma kwenda popote ukailazimisha kitu kibaya hutokea.
Ni mhimu sana...
Ni kweli. Lkn Mungu ni mwema humpatia mtu kinachomfaa. Wakufanana nawew unaweza kumpata lkn inahitaji Critical examination na msaada wa Mungu-- ili uspate batili akakuumiza
Me ni mwanaume lkn sjafurahishwa na hiki kitendo.
Huyu mama kanieleza haya yote kama mwanae kabisa akihitaji Ushauri...
Nikamwomba niwashirikishe watu wengine walio na experiences maana me sijaoa. Ili tupate mawazo mengi na mazuri akakubali.
Hivyo, nikaamua kuwaletea ninyi wakuu nikijua...
Maana kila nikitongoza Wadada anasema yupo kwa mahusiano.
Sio poa
Inaniumiza kichwa sana kupata ninayemhitaji.
Chaajabu kuna wadada wanaonekana kunikubali asilimia zote hata sjawatongoza, chaajabu siwaelewi wala nin.
Ninaowaelewa wanawatu wao.
Nifanyej??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.