Naona stroke tayari ina approach kweny mishipa ya fahamu!! Any way... Cdm walitoa factors ni kwann walisusia uchaguz so ungeainisha na hizo factors!!! Btw pole kwa stroke inayokutesa!!
Watanganyika wote tuwe makini na vijana aina hii ya machawa, taifa haliwezi kusonga mbele kiuchumi na kupambana na ufisadi huku tukiwa na vijana aina kama hii!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.