Well, ashaapishwa na kuchukua madaraka je kitima alipaswa amuiteje? Lissu anamuita rais, heche na wengine. Usipoita haisaidii kitu, pia umemsikliza kitima leo DW? Ukimsikiliza utaelewa msimamo upo palepale
Shida yenu mtu akisema ukweli tena kwa hoja mnamuona hana heshima na adabu, then usijivunie maan hiyo taasisi ya kina kitima ni kubwa kuliko serikali ya ccm. Pia nimemsikiliza kitima DW kaongea bila kupepesa macho wala maneno, ni vzr kuangalia wap mlikosea ombeni msamaha kwa mlio wakosea then...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.