Recent content by Pac the Don

  1. Pac the Don

    JamiiForums Tanzania Mwenda Tezi na Omo marejeo Ngamani-TEC Wameelewa,Bado nani Hajaelewa?

    Well, ashaapishwa na kuchukua madaraka je kitima alipaswa amuiteje? Lissu anamuita rais, heche na wengine. Usipoita haisaidii kitu, pia umemsikliza kitima leo DW? Ukimsikiliza utaelewa msimamo upo palepale
  2. Pac the Don

    JamiiForums Tanzania Padre Kitima Ameanza Kuwa Mnyenyekevu Na Heshima na Kutambua Kuwa Rais Na Taasisi Ya Urais Haichezewi Wala Huwezi Kushindana nayo ama kuiletea Dharau.

    Shida yenu mtu akisema ukweli tena kwa hoja mnamuona hana heshima na adabu, then usijivunie maan hiyo taasisi ya kina kitima ni kubwa kuliko serikali ya ccm. Pia nimemsikiliza kitima DW kaongea bila kupepesa macho wala maneno, ni vzr kuangalia wap mlikosea ombeni msamaha kwa mlio wakosea then...
  3. Pac the Don

    JamiiForums Tanzania Tuwe wakweli kwa nafsi zetu. Ni nani mwingine CCM zaidi ya Dkt. Nchimbi anayeweza kusema jambo na WaTanzania wakamsikiliza

    Haaayaa bas wasira ndie muhimu san 📌
  4. Pac the Don

    JamiiForums Tanzania Ni member gani mwana CCM angalau anakubalika kwa michango yake hapa JF bila kuegemea Upande?

    Shindwa Pepopunda! Hizo ni zaid ya chawa.
  5. Pac the Don

    JamiiForums Tanzania Nashauri vyama vya siasa visivyo na sifa za kisheria kushiriki uchaguzi visipewe kipaumbele kwenye maridhiano ya hiyari ya kitaifa

    Kbs sisi kama CCM tunataka tufanye maridhiano na vyama vyetu shikizi maana agenda yetu ni moja na vyama hivyo kua.... Mama anaupiga mwingi san!
  6. Pac the Don

    JamiiForums Tanzania Pongezi CJ Masaju: Dawa ya Kukomesha Mahakama Kudharauliwa ni Kutoa SMART-Judgement, Zenye Meno, Hukumu Isipotekelezwa, Meno ya Contempt Yana Ng'ata!

    Hakuna cha SMART judgment wala contempt, bila katiba mpya maelekezo ni kila muhimili utaelekezwa nn cha kufanya ✔️
  7. Pac the Don

    JamiiForums Tanzania Uchawa ni ugonjwa wa akili? Wataalamu wa afya tusaidieni

    Hatimae umefikiwaaaa 🤣🤣🤣🤣 thread inakuhusu 100%
  8. Pac the Don

    JamiiForums Tanzania Video: Heche adai kufuatiliwa na gari namba T 318 EQJ

    Well, je hiyo gar ilikua inatafuta nn kwa heche? Maan lissu alilalamika hivi mwaka 2017 mkampuuza matokeo yake mkataka kumuua
  9. Pac the Don

    JamiiForums Tanzania Video: Heche adai kufuatiliwa na gari namba T 318 EQJ

    Sasa heche anahitaji kiki kweli 😅😅😅 watanzania sio wajinga wanajua yupi ni yupi.
  10. Pac the Don

    JamiiForums Tanzania Katambi: Tanzania hakuna Ugaidi, kunaweza kuwa na viashiria

    Sasa kama kuna viashiria vya ugaidi afcon itakuaje na kuna viashiria vya ugaidi?
  11. Pac the Don

    JamiiForums Tanzania Hakuna kiongozi hata moja wa CHADEMA anae kubalika Bara na Visiwani

    Sometimes inakulazimu upost tu ili mradi uingize pesa ya siku!
  12. Pac the Don

    JamiiForums Tanzania Makonda: Lissu ni mropokaji hata mazungumzo ya CCM na Upinzani tulimtumia sana Mbowe, anatunza siri

    Hapa unapata majibu kamili kua.. wanataka mtu mwenye bei, na loyal kwao 📌
  13. Pac the Don

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza: Umuhimu wa maridhiano “ya kweli” ni huu hapa

    1,2,4 hawataki hata kuzisikia 📌
Back
Top Bottom