Uzuri wa hili suala ni kwamba, ukweli unazidi kudhihirika! Nimejaribu kugusa "hisia" zilizochokozwa na Zitto. Ofcozzz hakuna aliyekataa kukaguliwa. Lakini Kama umenielewa nimesema, kilicho mainstream hii ishu ya Zitto na Viongozi wa CDM ni kugusa "hisia" zao katika mambo sahihi!
Well, huwa...
Umepewa mfano mdogo tu! Chanzo cha ku-mainstream haya yote ni Zitto kutaka hesabu za vyama (ikiwemo CDM) zikaguliwe...!!! Katika Hali ya kuonesha uzalendo. Nyie mmekalia kutetea maslahi ya chama. Mna tofauti gani na CCM!!?
I bet there are more to come...!
Nlikua nina wasiwasi na maamuzi Kama haya Kwa heshima ya Chama. Lakini Kwa hali ilipofikia, awabomoe tu na "movement for Chagga" Yao!
This is very hopeless of Tanzanians! Leo atashutumiwa Zitto Kwa kuongea hayo, bila kujali alichokiongea! Mi nlidhani alichokiongea ni very sensitive kuliko kilichomfanya aongee! We are talking about the leaders of what we call revolutionary party of the country! And you don't pay attention to...
Chintu!? Hujanielewa. Samahani sana Kwa hilo.
Kwanza; hakuna ufisadi Zitto amefanya.
Pili; tuhuma za Zitto ni za MUDa mrefu, si Kwa uongozi wa chama tu, hata Kwa wanachama ambao wamekuwa hawajui kinachoendelea. Wakimtuhumu Kuwa "amenunuliwa" na CCM. Kisa haongei sana bungeni na vitu Kama...
....Kumbe ZZK hana akili kiasi hiki? ameyajua lini haya? na alikuwa wapi siku zote? inamaana yeye amefanya aliyofanya kwa sababu Mbowe alipokea pesa kutoka kwa Mkono? Huu ni utetezi wa ajabu kweli kutoka kwa mtu anayejinasibu kuwa makini. Ama kweli sasa naamini Zitto kachanganyikiwa.
Unavuka...
Chama ni nini!!??
Nani atakuwa kiongozi CdM ikichukua nchi! Ndo haya haya ya CCM na Lowasa. We don't want corrupt politicians. They are the worst poison in the development of the country. Unaweka maslahi ya chama Mbele Kwa Faida ya Nani!? Chama ni chombo tu, tunahitaji watu safi. Kama ni hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.