Recent content by otorokoko

  1. O

    JamiiForums Tanzania Picha: Kwa mwendo huu Vincent Nyerere anaifuta CCM Musoma Mjini

    ingia youtube andika zitto akizomewa musoma mjini utaiona
  2. O

    JamiiForums Tanzania Picha: Kwa mwendo huu Vincent Nyerere anaifuta CCM Musoma Mjini

    hapa jf mods wanaitoa,ingia youtube andika zitto akizomewa musoma mjini utaiona
  3. O

    JamiiForums Tanzania Picha: Kwa mwendo huu Vincent Nyerere anaifuta CCM Musoma Mjini

    Pole sana kama haujui kuna video mbili moja ni siku ya mkutano wa CHADEMA wananchi baada ya mkutano wa mnyika walifanya maandamano huku wakimuimba zitto msaliti hii ndo umeiona,na ya pili ni siku zitto akuhutubia alizomewa hii nayo nitaiweka hapa.
  4. O

    JamiiForums Tanzania Picha: Kwa mwendo huu Vincent Nyerere anaifuta CCM Musoma Mjini

    Mtandao ukiwa vizuri naiweka,ACT walizani Musoma ni sawa na Mwandinga.Wameonja joto la jiwe
  5. O

    JamiiForums Tanzania Picha: Kwa mwendo huu Vincent Nyerere anaifuta CCM Musoma Mjini

    Ngoja mtandao ukae vizuri naiweka,ACT mpunguze kihere here musoma siyo mwandinga
  6. O

    JamiiForums Tanzania Mkutano mkubwa wa ACT - Wazalendo Musoma Mjini (Tarehe 20 Aprili, 2015)

    Wamepata aibu ya mwaka zomea zomea ilitawala,MUSOMA siyo MWANDINGA
  7. O

    JamiiForums Tanzania Mkutano mkubwa wa ACT - Wazalendo Musoma Mjini (Tarehe 20 Aprili, 2015)

    Waeleze pia jinsi wananchi walivyowazomea
  8. O

    JamiiForums Tanzania John Mnyika akisindikizwa na wanamusoma baada ya mkutano, leo ni zamu ya Musoma vijijini

    Ndo uwezo wa akili yako umeishia hapo?
  9. O

    JamiiForums Tanzania John Mnyika akisindikizwa na wanamusoma baada ya mkutano, leo ni zamu ya Musoma vijijini

    Safari hii CCM lazima watafutane
  10. O

    JamiiForums Tanzania John Mnyika akisindikizwa na wanamusoma baada ya mkutano, leo ni zamu ya Musoma vijijini

    Zinduka kutoka usingizini
  11. O

    JamiiForums Tanzania John Mnyika akisindikizwa na wanamusoma baada ya mkutano, leo ni zamu ya Musoma vijijini

    Hadi uchaguzi ufike watu wa ccm mtakuwa mmeshapata presha
  12. O

    JamiiForums Tanzania John Mnyika akisindikizwa na wanamusoma baada ya mkutano, leo ni zamu ya Musoma vijijini

    Kuota ndoto si vibaya,lakini ndoto za mchana ni tatizo
  13. O

    JamiiForums Tanzania John Mnyika akisindikizwa na wanamusoma baada ya mkutano, leo ni zamu ya Musoma vijijini

    Safari hii CCM itatoka kwe.ye chama tawala kuwa chama cha Mapingamizi
Back
Top Bottom